CV ya Makonda , sio ya mapishi wala ya umesenja. Ulizebi vyengine ila sio CV YAKE,
Musitie aibu watanzania, kuwa tuwashamba kiasi hicho, yani unachukua picha ya zamani ya Makonda ,unatuambia watu wanasahau walipotoka , yani logic yako ni nini? Nini maana ya maendeleo, ulitaka hiyo nafasi...