mkuu wangu unachosema ni ukwel kbc wala sina pingamizi hyo ndo silaa pekee kwa sasa ilyobakia kwa rafiki zangu ccm,,, ila nikuombe kitu ndg simiyu yetu hyo shaba ya chuma ipeleke kwanza kwenye makalio ya mke wako na watoto kama hata ni wako wa kuzaa nina wasiwasi utakuwa umepachikiwa mimba na...
sasa simiyu kama una ndoto kuwa hi nchi bado ni ya bibi yako,, ni bahati mbaya sana na pole sna,, ccm lzm mwak huu mkalishwe chini na kuja kudeki kwa kuinama baraza na korido za ikulu mwakani
safi sana lema,,,, naona msalani kama kawaida yake yuko na ww kila kona utathani hawara mzee. Akisikia jina lema lazim jasho la makalio limtoke bila kupenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.