Noti mpya tz
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 974
- 247
Nimesoma maoni ya Mh. Kabwe kuhusu Ukawa ambapo amesema ni wasaka tonge tu...
binafsi namfahamu Zzk kama mtu anaependa sana tension ya wananchi na media, niseme wazi kuwa sikutegemea maoni ya namna hiyo kitoka kwa mtu aina ya zzk na baada ya kusoma maoni hayo nilijiuliza kama ni yeye kaandika au kuna watu wame hack akaunt i yake ya facebook. Lakini ni zaidi ya masaa 24 sijaoni akikanusha kitu ambacho kinanidhihirishia kuwa ni yeye kaandika.
ni zz huyu huyu alikuwa akihubiri umoja na mshikamano ili kuiondoa ccm na huyu huyu alikuwa akipigania umri upunguzwe ili agombee urais, najiuliza amekuwaje?
Kuna kitu kinamtafuna ndugu yangu huyu na si muda mrefu kitamuacha wazi....
Niseme wazi... Sikutarajia kabisa mambo yaliyomkuta cdm kumhusisha Mwigamba maana nilikuwa na imani sana na mtu huyu.
tumpuuzen zzk ili tuendelee....
Noti
binafsi namfahamu Zzk kama mtu anaependa sana tension ya wananchi na media, niseme wazi kuwa sikutegemea maoni ya namna hiyo kitoka kwa mtu aina ya zzk na baada ya kusoma maoni hayo nilijiuliza kama ni yeye kaandika au kuna watu wame hack akaunt i yake ya facebook. Lakini ni zaidi ya masaa 24 sijaoni akikanusha kitu ambacho kinanidhihirishia kuwa ni yeye kaandika.
ni zz huyu huyu alikuwa akihubiri umoja na mshikamano ili kuiondoa ccm na huyu huyu alikuwa akipigania umri upunguzwe ili agombee urais, najiuliza amekuwaje?
Kuna kitu kinamtafuna ndugu yangu huyu na si muda mrefu kitamuacha wazi....
Niseme wazi... Sikutarajia kabisa mambo yaliyomkuta cdm kumhusisha Mwigamba maana nilikuwa na imani sana na mtu huyu.
tumpuuzen zzk ili tuendelee....
Noti