assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
- Thread starter
- #21
chagadema ni janga la taifa
Si kweli ! Waanzilishi ni wachaga, lakini si ya wachaga. Kila kitu kina mwanzo, na ukianza unatafuta watu ambao mna nia moja kwanza, then mnawavuta wengine to join hands kama CDM ilivyo sasa
ACHENI BIAS. mnachokifanya sio political fair,ni ukandamizaji,umangimeza,uNAZI,udikteta na UKEREKETWA wa kipumbavu.Atakuwa mwenyekiti nyumbani kwako,labda kama huna kwako unalala kwenye verander za lumumba.
ACHENI BIAS. mnachokifanya sio political fair,ni ukandamizaji,umangimeza,uNAZI,udikteta na UKEREKETWA wa kipumbavu.
Ana hoja,msikilizeni. HAKI KAMA ANAYO,NI MUELEWA. SIO MBULULA. Ataipata.
Just a way i can see you this way, you are going to be more worse and problematic twice than the CCM you are condemning. Watu gan wenye jazba ,visasi na uchu namna iyo. chama kisicho na simile kama nn. Hamna mashiko wala msingi wa utu kama mnavyojinadi nyie.
SURE I TELL YOU. TAKE MY WORDS.[/QUOl
Lakini hajafukuzwa,amejitoa mwenyewe,aliitwa akakacha,so what do you say?
It is logical truth. Hats Yesu alianza na wagalilaya 12 kama disciples hakuna wa Judea hata moja. Baadaye kwa wayahudi wa majimbo mengine na samaria na mwisho wa nchi.
Support inaanzia nyumbani period.
It is logical truth. Hats Yesu alianza na wagalilaya 12 kama disciples hakuna wa Judea hata moja. Baadaye kwa wayahudi wa majimbo mengine na samaria na mwisho wa nchi.
Support inaanzia nyumbani period.
ACHENI BIAS. mnachokifanya sio political fair,ni ukandamizaji,umangimeza,uNAZI,udikteta na UKEREKETWA wa kipumbavu.
Ana hoja,msikilizeni. HAKI KAMA ANAYO,NI MUELEWA. SIO MBULULA. Ataipata.
Just a way i can see you this way, you are going to be more worse and problematic twice than the CCM you are condemning. Watu gan wenye jazba ,visasi na uchu namna iyo. chama kisicho na simile kama nn. Hamna mashiko wala msingi wa utu kama mnavyojinadi nyie.
SURE I TELL YOU. TAKE MY WORDS.[/QUOl
Lakini hajafukuzwa,amejitoa mwenyewe,aliitwa akakacha,so what do you say?
nan kajitoa?? kama ni mbarouk kachomoka baada ya musukosuko milioni. si haba.
acha uongo jamaa ndio chair ajae
nan kajitoa?? kama ni mbarouk kachomoka baada ya musukosuko milioni. si haba.
No kajipima akaona hana ubavu wa kupambana,hana hoja na hakubaliki,tayari alishashutumiwa kukivuruga chama.kama ni misukosuko,si aliiona tangu mwanzo!asingechukuwa fomu kabisa.
chagadema end of game