Naomba kufahamishwa hivi hizi ripoti za CAG, huwa zinachukuwa (siku ngapi, miezi, miaka mingapi) kufanyiwa kazi? Naona imekuwa ikisomwa kila mwaka lakini hakuna uwajibikaji wowote ule kwa wizara na watumishi wanaofanya madudu zaidi sana wakija kwenye bajeti wanaongeza fedha kwenye wizara zao...
Wanasiasa wengi wamekuwa wakifanya mambo ya ajabu sana, kuhujumu uchumi, Kula Rushwa/Kutoa Rushwa, kula fedha za miradi ya serikali. Ahadi za Uongo na Mambo mengine mengi ya hovyo kwa kutumia Kivuli cha "tupo serikalini hakuna mtu wakutugusa".
Wanasiasa bado wanaona watu tupo kizani Ukweli ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.