Wanasiasa, zama zimebadilika

Wanasiasa, zama zimebadilika

Joined
Feb 15, 2014
Posts
6
Reaction score
4
Wanasiasa wengi wamekuwa wakifanya mambo ya ajabu sana, kuhujumu uchumi, Kula Rushwa/Kutoa Rushwa, kula fedha za miradi ya serikali. Ahadi za Uongo na Mambo mengine mengi ya hovyo kwa kutumia Kivuli cha "tupo serikalini hakuna mtu wakutugusa".

Wanasiasa bado wanaona watu tupo kizani Ukweli ni kwamba zama zimebadilika Vitu vyote viovu mnavyofanya Wananchi wanaona.

Dunia imebadilika Teknolojia imebadilisha mawazo na fikra za watu wengi sana, Ufisadi unaofanyika watu wanauona, Uonevu wote Unaofanywa unaonekana ni Swala la Muda tu atapatikana wa kumfunga Paka kengele.
 
That's true homeboy.

Unajua kwa % kubwa tuna wanasiasa wapumbavu na vipofu. Wanahisi wananchi hawajui chochote kumbe upumbavu wao unawapa upofu.

Ipo siku kitaeleweka tu.
 
That's true homeboy.

Unajua kwa % kubwa tuna wanasiasa wapumbavu na vipofu. Wanahisi wananchi hawajui chochote kumbe upumbavu wao unawapa upofu.

Ipo siku kitaeleweka tu.
Kaka naumia sana haya mambo yanayoendelea hapa Nchini, ni kama hakuna mtawala kila mtu anafanya anavyotaka
 
Back
Top Bottom