Kwa ninavyojua mahari ni sheria ya zamani ambapo mwanamke alikua bado ni mwanamwali hadi kuolewa, Sasa inakuaje Kwa ulimwengu huu wa Sasa mwanaume utoe mahari Kwa mwanamke ambaye sio bikra?
Kifupi mwanamke bikra pekee ndio anafaa kutolewa mahari
Kwa ninavyoifahamu SIMBA Huwa ikitoka ufungwa na Yanga basi ujue mechi inatofuata ni SARE au kipigo kabisa, Ili hilo lisitokee inabidi 80% ya wachezaji ambao hawakuanza mechi ya Yanga wacheze
ID inabaki kuwa Moja tuu kinachobadilika ni jina tuu maana vingine kama picha, fingerprint na records zako zote ni zile zile
Na kubadili jina iwe ni mara Moja tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.