Bodi ya mkopo kwa wanafunzi wanaboa sana unakuta watoto ya tima na walemavu wananyimwa mkopo
Kwakweli hawa wafanya kazi wa dodi hii wamechoka kazi, Magufuli anajitahidi sana kukusanya hela kwa majizi lakini wao bado wanabania hela hadi kwa mayatima na walemavu
Magufuli naomba ulitambue hili...
Ndiyo mkuu jipu lazima nitumbuliwe maana ukiliacha litaumiza mwili wote
Rais nenda UDSM kunamajipu mengi sana
Fanya hivyo ili wakalabati na majengo maana yanatishaaaaaa
Wewe nawe, kwani kipindi anajenga hakuwa na macho watu kama hao wanaokwamisha huduma zakijamii dawa yao ndo hiyo, kama nawewe ni miongoni lazima uisome namba
Mkuu wakati mwingine pga waangalii sana kwan unaweza kuwa na pga ya 4 .5 lakn kwenye interview ukafanya majanga na mwenye gpa ya chini yako akafanya vizur zaidi hapo lazima mwenye gpa ya 4.5 lazima utemwe tu na wakukushangaa sana kwan sikuzote mtu akiona una gpa nzuri anategemea utafanya vizur...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.