Continous students ambao walikosa mikopo

Continous students ambao walikosa mikopo

kwani mkuu walisema wanachakata?? kwani nami ni muathira japo in otherway round..

baada kuwafata ma loan officer walidai kwamba mfumo ulotumika mwaka Huu ni tofauti kidogo kwa hiyo suala letu limepewa muda kabla appeals hazijaanza tutakua tumearifiwa lakini swali kwao ni Lin? na je hawajui km vyuo usajili unaendelea
 
Heslb mwogopeni Mungu, watu huku tunalala njaa, kama government haijatoa hela bora mtwambie,Rais wetu Magufuli naomba uende heslb hata kesho,
 
Rais wetu amebakiza kazi mmoja ya kufuta hii bord ya mikopo kwa elimu ya juu..then atangaze tenda kwa mashirika mbalimbali ni hata kama ni ndani ya miezi 2 ninaamini yatajitokeza zaidi ya mashirika 100 yatayo hitaji tenda hiyo na ninaamini HAKUNA HATA MTU 1 ATAKAYE KOSA MKOPO TANZANIA HII. naomba kuwasilisha
 
Rais wetu amebakiza kazi mmoja ya kufuta hii bord ya mikopo kwa elimu ya juu..then atangaze tenda kwa mashirika mbalimbali ni hata kama ni ndani ya miezi 2 ninaamini yatajitokeza zaidi ya mashirika 100 yatayo hitaji tenda hiyo na ninaamini HAKUNA HATA MTU 1 ATAKAYE KOSA MKOPO TANZANIA HII. naomba kuwasilisha
critical thinker.. safi kijana kwa hoja yako all is well
 
Nasikitika sana msomi wa chuo kikuu wa Tanzania kujiita "Continuous student".
 
UDSM wameshabandika majina ila no machache sana tuliomba continuing kama 6000 ila wametoa barch ya majina 45 tuuu.. hii ndiyo TANZANIA
huyu loan officer wa UD ana majibu ya sifa tu.....dah inauma sana...!
 
Back
Top Bottom