ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Habarini wana JF
Kwanza kabisa natambua kuwa Tiba yoyote ile ni imani lakini sio imani tuu lazima na tiba ifanye kaZi
Kwasasa hasa hapa nchini kwetu Tanzania kumekuwa na Tiba asilia nyingi sanaaaa hadi unashindwa kujua ipi ni ipi hasa hii ya watu kujitangazia Tiba zao
Kwasasa TREVO naona inashika kasi sana lakini kiupande wangu nasikia shuhuda tuu toka kwa wauzaji na wahamasishaji wa hii Tiba nashindw kuelewa kama kweli inafnya kazi kama vile navo ambiwa
Nambiwa ni virutubisho na sio dawa lakini shuhuda nazo pata naona watu wanapona magonjwa ambayo ni very very complicated hadi najisemea mwenyewe kama mtu anasimulia kuwa mtu mwenye cancer ambayo ipo stage kubwa kapona sa serikali inasubiri nini kugawa dawa hii kwa wagonjwa
Napata shuhuda za magonjwa makubwa makubwa kabisa na naambiwa kopo moja la TREVO NI laki moja na 80 hadi na 95!
Swali langu ni je kweli hii TREVO inafanya kazi kama vile inavotangazwa au ni propaganda za kumuibia Mtanzania?
Kama kuna mtu hapa alikuwa na mgonjwa wake atwambie kama alipona kwa TREVO
sipo hapa kuwaharibia ila nikutaka kupata ukweli ili tuwasaidie na wengine!
Kwanza kabisa natambua kuwa Tiba yoyote ile ni imani lakini sio imani tuu lazima na tiba ifanye kaZi
Kwasasa hasa hapa nchini kwetu Tanzania kumekuwa na Tiba asilia nyingi sanaaaa hadi unashindwa kujua ipi ni ipi hasa hii ya watu kujitangazia Tiba zao
Kwasasa TREVO naona inashika kasi sana lakini kiupande wangu nasikia shuhuda tuu toka kwa wauzaji na wahamasishaji wa hii Tiba nashindw kuelewa kama kweli inafnya kazi kama vile navo ambiwa
Nambiwa ni virutubisho na sio dawa lakini shuhuda nazo pata naona watu wanapona magonjwa ambayo ni very very complicated hadi najisemea mwenyewe kama mtu anasimulia kuwa mtu mwenye cancer ambayo ipo stage kubwa kapona sa serikali inasubiri nini kugawa dawa hii kwa wagonjwa
Napata shuhuda za magonjwa makubwa makubwa kabisa na naambiwa kopo moja la TREVO NI laki moja na 80 hadi na 95!
Swali langu ni je kweli hii TREVO inafanya kazi kama vile inavotangazwa au ni propaganda za kumuibia Mtanzania?
Kama kuna mtu hapa alikuwa na mgonjwa wake atwambie kama alipona kwa TREVO
sipo hapa kuwaharibia ila nikutaka kupata ukweli ili tuwasaidie na wengine!