Usilolijua ni kama usiku wa Giza. Nyie endeleeni kuwa na mashaka wakati wenzenu twala, tena kiulaini bila jasho wala bughdha.
Yaani kuitilia shaka Kaylanda ni sawa na wapinga chanjo ya CORONA ambao hadi leo wanasubiri waliochanja wageuke mazombi.
Kuna baadhi ya wanachi ni wajinga sana, baada ya kukataa tozo wao walikuwa wanasema ipunguzwe.
Haya sasa ndio imepunguzwa hapo, kila mtu apambane na Hali yake maana serikali haitabana matumizi kamwe na wale waliokuwa wanataka ipunguzwe ndio wataendelea kuwa masikini.
Wajinga ndio waliwao, a...
Maswali mengi ni ya kijinga. Eti unauliza namba ya siku ili ujishirikishe kwenye tafiti. Kwani tulisajili namba za simu ili iweje. Hata hili zoezi la sensa ni la kijinga na upigaji tu kwani vyeti vya kuzaliwa, kifa na vitambulisho vya nida ninafanya kazi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.