Umeyajuaje yote hayo na wakati umesema wanafanya shughuli zao kwa siri sana, na most of their members ni watu matajiri na watu maarufu, so na wewe ni tajiri au maarufu?? maana tajiri hawezi kuwa na rafiki maskini.
by the way you have prove your poor thinking capacity by saying issues that u dont...
kipindi hicho ukimwi haukuwepo, magazeti ya udaku hayakuwepo, mastaa hawakuwa na maskendo kama ilivyo leo, by the way hata kama ndo umetoka bush na huna mahali pa kufikia watu walikuwa wanaweza kukuhifadhi, lakini leo ukiomba hifadhi kwa mtu UTAGEUZWA MTAJI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.