RIP brother, makosa ya Uongoz huwa yapo afrika tu, unyonyaji, huwa upo Afrika tu, Mauaji huwa yanafanywa Afrika tu, Demokrasia huwa inahitajika Afrika tu, ndo maana hata kesi za Uongoz mbaya huko ICC, zipo za waafrika tu, Tunapaswa kujitambua Waafrika kwanza kisha tuchukue hatua!
Marekani ameua...