Mwandishi umeonyesha kutokuelewa utaratibu wa waislamu au huenda unasukumwa na chuki kwa kuandika kwamba "haiwezi kuwa convenient kuwaachia waislamu kuswali Mara tano kwa siku" kwanza Mara nyingi Muda wa masomo ni asubuhi hadi sana sana jioni ambapo katika Muda huo waislamu wanawajibika kuswali...
Mbona kwenye suala la kuwakamata wazungu wa Dawasco na kuifukuza kampuni hiyo hamtaji Lowassa ambaye moja kwa moja alihusika kwenye suala Hilo? Au TL anachagua wa kuwakosoa? Au kwa kuwa walimsafisha Lowassa na tuhuma kubwa za ufisadi ambao wao chadema walikuwa wakizunguka nchi nzima kumtangaza...
Bila ya shaka kosa la hao akina Kubenea na Anthony Komu ni kutaka kugombea uenyekiti. Hiki Chama ukitaka uenyekiti huwezi kubaki salama kama ilivyokuwa kwa akina Aman Kabourou, Chacha Wangwe na Zitto Kabwe.
Hongera sana mwenyekiti wa zamani wa UVCCM mkoa wa Arusha, umechukua uamuzi sahihi kabisa. Nilijua huwezi kukaa na genge la wapiga deal, genge la wahuni. Karibu Sana nyumbani mshale ukienda porini haujapotea ndio nyumbani kwake. Kidumu Chama Cha Mapinduzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.