Kiukweli napenda kusikitika sanna baada ya kuona waliowengi kukosa imani ya tiba za asili kutokana na kupitia matatizo ya kutapeliwa na kufanyiwa vitendo ovu
Nimekutana na wengi akbao wameshaibiwa, wamebakwa, wametapeliwa, na wengine mpaka nakutana nao bado wanaendelea kutapeliwa
Kiukweli Tiba...
Watu mashuhuri wakifariki tu kunauwezekano mkubwa wa kuchukuliwa nyota zao na kupewa mtu mwingine alie hai na kuitumia
Hapa naamanisha, Matajiri, Watu maarufu na mashuhuri
Inawezekana tu ikiwa yafuatayo yatazingati
1. Ifanyike ndani ya siku 40 tangu kufariki kwake
2. Ni lazima kaburi lake...
nenda maduka ya kariakoo ya madawa ya asili na ununue gamba la kaka kuona, maji ya waridi na mpesa pesa kisha nenda manazi mmoja ukanunue pesa za zamani nilizoziorodhesha kisha tafuta maji ya mvua wala sio tabu kupata hivyo vitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.