Recent content by Hizbu Sharifu

  1. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    njoo unijibu maswali yangu inbox nijue nskusaidiaje
  2. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Kuibwa nyota kwa njia ya mapenzi

    kinga ni bora kuliko tiba
  3. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Kukosa au kupungua nguvu za kiume

    hapo si tatizo la kimwili bali ni tatizo la kiroho
  4. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Kukosa au kupungua nguvu za kiume

    elewa tatizo lako vizuri na ulieleze vizuri na uwe na uhakika mtoa huduma sio msaka tonge mana anaweza kukuuzia hata shubiri alimradi apate pesa yako aelewe tatizo lako vizuri akupe dawa inayoendana na tatizo lako
  5. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Kukosa au kupungua nguvu za kiume

    AINA ZA MATATIZO YA NGUVU ZA KIUME Kwa bahati mbaya, wanaume wengi hukosa tiba sahihi za nguvu za kiume kwa kushindwa kutambua tatizo husika na dawa wanazopewa zinatibu tatizo gani. Zifuatazo ni baadhi ya matatizo yanayohusishwa na nguvu za kiume: Kukosa uwezo wa kuendelea baada ya bao la...
  6. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Kuibwa nyota kwa njia ya mapenzi

    vizuri ila ujue kubomoa ni rahisi kuliko kujenga
  7. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Kuibwa nyota kwa njia ya mapenzi

    je hamkufunzwa heshima na kuchunga kinywa chenu kwa watu kama sisi tunapoongea? sisi hatusemwi vibaya mana tunanguvu za ajabu zinaweza kuharibu maisha yako
  8. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Kuibwa nyota kwa njia ya mapenzi

    je hamkufunzwa heshima na kuchunga kinywa chenu kwa watu kama sisi tunapoongea? sisi hatusemwi vibaya mana tunanguvu za ajabu zinaweza kuharibu maisha yako
  9. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Kuibwa nyota kwa njia ya mapenzi

    Siku hizi kumekua na wimbi kubwa la kuibwa nyota kwa njia ya mapenzi. Hemu jichunguzeni kuna watu ambao umefanya nao tu mapenzi na kila kitu kinaanza kuharibika kiuchumi nukhsi na ukosefu wa bahati mpaka pesa ya kula inakua ngumu ujue tayar kuna mtu ameiiba nyota yako baada ya kufanya mapenzi...
  10. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Haya hapa ni majina matukufu ambayo yamefanya miujiza mikubwa kwa manabii walipoyatamka tu

    Napokea masimango na kejeli za baadhi zenu ila sitoacha kuwasaidia
  11. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Kuota upo shule ya msingi

    kwa ujumla ndoto za shuleni ni mbaya na hazina uzuri wowote uwe umefanya mtihani au umeshindwa tafsiri zake zote ni mbaya na ndoto hizi humtokea sanna mtu ambae amepigwa kijicho(hasad) tofautisha hasad na uchawi, kwamba kuna watu walitamani neema zako ziondoke kwako na sababu hukua mtu wa ibada...
  12. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Haya hapa ni majina matukufu ambayo yamefanya miujiza mikubwa kwa manabii walipoyatamka tu

    Habari ndugu wanajamii Ningependa kushea nanyi list ya majina matukufu ambayo manabii waliyatumia pia, mfano nabii issa(yesu) aliyatumia majina haya kufanya miujiza mingi hata ya kufufua watu, lakini majina haya yalitumiwa na nabii mussa(moses) kuiamrisha bahari ipasuke, lakini majina haya...
  13. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Siri ya waliofanikiwa ni sababu ya nguvu zitokanazo na walionyuma yao

    Watu wengi wamekua wanatafuta siri ya mafanikio bila kujua mafanikio yao yapo mikononi mwa nani? -Kuna watu wanafanikiwa sababu tu wazazi wao wanafurahi kuona wakifanikiwa -Lakini kuna wengine wanafanikiwa ni kwasababu ya ibada na mungu yupo katika kila jambo lao -Pia kuna wanaofanikiwa...
  14. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Hivi watu Wanaonunua hizi sarafu za zamani huwa wanaenda kuzifanyia nini?

    Hua zina kazi katika kupandisha bahati ya uchumi , wengine huzitemgeneza na kuweka dukani, wengine hutengeneza kwa kutembea nazo, wengine hutengeneza kuogea zina kazi kubwa, sababu inaaminika peda ya zamani zilishikwa na watu wengi wa zamani waliokua na bahati tofauti hivyo sababu hao watu...
  15. Hizbu Sharifu

    JamiiForums Tanzania Huu ni ugonjwa gani unaompata ndugu yangu huyu kila akisaini mkataba mpya?

    Poleni sanna, naomba majina ya huyo kijana na majina ya mama ake
Back
Top Bottom