Hua zina kazi katika kupandisha bahati ya uchumi , wengine huzitemgeneza na kuweka dukani, wengine hutengeneza kwa kutembea nazo, wengine hutengeneza kuogea zina kazi kubwa, sababu inaaminika peda ya zamani zilishikwa na watu wengi wa zamani waliokua na bahati tofauti hivyo sababu hao watu...
Mmungu anasema katika quran
"Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na mabadiliko ya usiku na mchana, na meli zipitazo baharini kwa manufaa ya watu, na yale aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu kutoka mbinguni ya maji kwa ajili ya kuhuisha ardhi baada ya kufa kwake, na akatawanya humo kila mnyama...
Wengi wenu Mmekua mukiniuliza maswali mengi kuhusu kutofanikisha makusudio ya jambo kama biashara na mengine bila sababu za msingi na hua haingii akilini kuvurigika kwake
Napenda kuwambia kua jambo linalovurugika katika mwisho wake hali ya kua lilikua vizuri na likavurugika bila sababu za...
Sawa' Mmungu kwenye quran anasena "
Qur'an:
“Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na mabadiliko ya usiku na mchana, zipo ishara kwa wenye akili.”
— [Qur’an 3:190]
👆Mwisho anamalizia kwa wenye akili hivyo napata wasi wasi kua kama kweli wewe unaakili sawa sawa kutoziona ishara za kuwelo...
WAZEE WETU WAMETUACHIA HIZI DHANA NA TUNAZIFANYIA KAZI IKIWA UNATAKA USHAHIDI WA KISAYANSI HAPANA SINA MANA WANASAYANSI HATA MUNGU WAMEKANUSHA UWEPO WAKE
JE WAIJUA NGUVU YA MVUA
♦️Unajua mvua ni BARAKA ?
♦️Mvua haishukii ardhi pekee bali inashuka na kwenye nafsi pia
♦️Mvua husafisha husda
♦️Unajua kua mvua inaweza kusikia?
♦️Unajua mvua hubeba dua zako? Omba kwa sanna ukiwa ndani ya mvua
♦️Mvua husafisha huzuni zako.
♦️Mvua huosha kile ambacho...
Mimi ni muislamu hivyo hata ushauri wangu nashauri kulingana na Imani yangu hivyo ukiona ushauri niliotoa haukufai uache ila sijakoaea kusema u some Quran
Mambo ambayo hupaswi kufanya Mbele za Watu:
♦️ Usionyeshe furaha yako mbele za watu.
♦️ Usizungumzie watoto wako mbele za watu.
♦️ Usizungumzie afya yako mbele za watu.
♦️ Usizungumzie miradi yako kwa mtu yeyote.
♦️ Usizungumzie furaha yako mbele ya watu.
♦️ Usizungumzie mema ya ndoa yako kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.