Recent content by Hizbu Sharifu

  1. Hizbu Sharifu

    Hivi watu Wanaonunua hizi sarafu za zamani huwa wanaenda kuzifanyia nini?

    Hua zina kazi katika kupandisha bahati ya uchumi , wengine huzitemgeneza na kuweka dukani, wengine hutengeneza kwa kutembea nazo, wengine hutengeneza kuogea zina kazi kubwa, sababu inaaminika peda ya zamani zilishikwa na watu wengi wa zamani waliokua na bahati tofauti hivyo sababu hao watu...
  2. Hizbu Sharifu

    Huu ni ugonjwa gani unaompata ndugu yangu huyu kila akisaini mkataba mpya?

    Poleni sanna, naomba majina ya huyo kijana na majina ya mama ake
  3. Hizbu Sharifu

    Jinsi nguvu ya kiza inavyoharibu makusudio na adhma mambo

    Mmungu anasema katika quran "Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na mabadiliko ya usiku na mchana, na meli zipitazo baharini kwa manufaa ya watu, na yale aliyoyateremsha Mwenyezi Mungu kutoka mbinguni ya maji kwa ajili ya kuhuisha ardhi baada ya kufa kwake, na akatawanya humo kila mnyama...
  4. Hizbu Sharifu

    Jinsi nguvu ya kiza inavyoharibu makusudio na adhma mambo

    We unakataa kuwepo kwa mungu utakuja kuamini nguvu za kiza ?
  5. Hizbu Sharifu

    Jinsi nguvu ya kiza inavyoharibu makusudio na adhma mambo

    Wengi wenu Mmekua mukiniuliza maswali mengi kuhusu kutofanikisha makusudio ya jambo kama biashara na mengine bila sababu za msingi na hua haingii akilini kuvurigika kwake Napenda kuwambia kua jambo linalovurugika katika mwisho wake hali ya kua lilikua vizuri na likavurugika bila sababu za...
  6. Hizbu Sharifu

    Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

    Pumzi inakuhadaa, sababu unaivuta bure basi unajiina mjanja , uhai aliokupa mola wako vipi unamka?
  7. Hizbu Sharifu

    Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

    Sawa' Mmungu kwenye quran anasena " Qur'an: “Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na mabadiliko ya usiku na mchana, zipo ishara kwa wenye akili.” — [Qur’an 3:190] 👆Mwisho anamalizia kwa wenye akili hivyo napata wasi wasi kua kama kweli wewe unaakili sawa sawa kutoziona ishara za kuwelo...
  8. Hizbu Sharifu

    Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

    Kabla sijakupa uthibitisho naomba kufahamu mawazo yako kwanini unaamini hakuna mungu?
  9. Hizbu Sharifu

    Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

    WAZEE WETU WAMETUACHIA HIZI DHANA NA TUNAZIFANYIA KAZI IKIWA UNATAKA USHAHIDI WA KISAYANSI HAPANA SINA MANA WANASAYANSI HATA MUNGU WAMEKANUSHA UWEPO WAKE
  10. Hizbu Sharifu

    Je waijua nguvu ya mvua kiroho?

    JE WAIJUA NGUVU YA MVUA ♦️Unajua mvua ni BARAKA ? ♦️Mvua haishukii ardhi pekee bali inashuka na kwenye nafsi pia ♦️Mvua husafisha husda ♦️Unajua kua mvua inaweza kusikia? ♦️Unajua mvua hubeba dua zako? Omba kwa sanna ukiwa ndani ya mvua ♦️Mvua husafisha huzuni zako. ♦️Mvua huosha kile ambacho...
  11. Hizbu Sharifu

    Wanaoporomoka na kuanguko katika maendeleo yao wengi ni husuda tu, fanya haya kujiepusha na husuda

    Sijui unaumri Gani mpaka sasa nikwambie tu umebahatika kutopitia waliopitia wahanga wa husda, na omba Sanna yasikukute
  12. Hizbu Sharifu

    Wanaoporomoka na kuanguko katika maendeleo yao wengi ni husuda tu, fanya haya kujiepusha na husuda

    Omba Sanna Tena sanna yasikukute tiba yake ni ngumu kuliko uchawi
  13. Hizbu Sharifu

    Wanaoporomoka na kuanguko katika maendeleo yao wengi ni husuda tu, fanya haya kujiepusha na husuda

    Mimi ni muislamu hivyo hata ushauri wangu nashauri kulingana na Imani yangu hivyo ukiona ushauri niliotoa haukufai uache ila sijakoaea kusema u some Quran
  14. Hizbu Sharifu

    Wanaoporomoka na kuanguko katika maendeleo yao wengi ni husuda tu, fanya haya kujiepusha na husuda

    Mambo ambayo hupaswi kufanya Mbele za Watu: ♦️ Usionyeshe furaha yako mbele za watu. ♦️ Usizungumzie watoto wako mbele za watu. ♦️ Usizungumzie afya yako mbele za watu. ♦️ Usizungumzie miradi yako kwa mtu yeyote. ♦️ Usizungumzie furaha yako mbele ya watu. ♦️ Usizungumzie mema ya ndoa yako kwa...
Back
Top Bottom