Hizbu Sharifu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2021
- 477
- 973
Watu wengi wamekua wanatafuta siri ya mafanikio bila kujua mafanikio yao yapo mikononi mwa nani?
-Kuna watu wanafanikiwa sababu tu wazazi wao wanafurahi kuona wakifanikiwa
-Lakini kuna wengine wanafanikiwa ni kwasababu ya ibada na mungu yupo katika kila jambo lao
-Pia kuna wanaofanikiwa kwasababu wana baraka nzuri za wenza wao yani Mume/mke
-Vile vile wapo wanaofanikiwa sababu ya waganga wao
Na ndio mana kuna watu ghafla mafanikio yao huanguka sababu ya kukosa baraka za walio nyuma yao.
Hivyo chungeni sana na kuziheshimisha baraka ambazo mnapewa katika mafanikio yenu.
-Kuna watu wanafanikiwa sababu tu wazazi wao wanafurahi kuona wakifanikiwa
-Lakini kuna wengine wanafanikiwa ni kwasababu ya ibada na mungu yupo katika kila jambo lao
-Pia kuna wanaofanikiwa kwasababu wana baraka nzuri za wenza wao yani Mume/mke
-Vile vile wapo wanaofanikiwa sababu ya waganga wao
Na ndio mana kuna watu ghafla mafanikio yao huanguka sababu ya kukosa baraka za walio nyuma yao.
Hivyo chungeni sana na kuziheshimisha baraka ambazo mnapewa katika mafanikio yenu.