Recent content by hisown

  1. H

    Ukweli bayana unathibitika alichoongea Donald Trump

    Nakubaliana kabisa nawe mkuu. Matatizo tulionayo chanzo chake ni familia. Katika familia zetu kuna matendo mengi sana mabaya. Kama tujuavyo kwamba, familia ndiyo kilele cha jamii. Kwa hiyo, tabia yoyote tunayoiona hivi leo katika Serikali, Taasisi mbalimbali za umma na binafsi, Jumuiya, na...
  2. H

    Mada Moto: Hivi ni sahihi kumchukia baba yako mzazi ambaye alishindwa kukusaidia kipindi akiwa na uwezo?

    Nime-copy mchango wako mkuu, kukubali jinsi ulivyojaribu kueleza kwa kujenga picha kubwa ya jinsi haya matatizo yanavyotokea. Kwa kweli hii ni picha nzuri fikirishi ya sisi watoto hasa tunaohisi hatukutendewa vizuri na wazazi kupata muda na kutafakari kwa kina hali hiyo na mwelekeo wetu kwa...
  3. H

    Mada Moto: Hivi ni sahihi kumchukia baba yako mzazi ambaye alishindwa kukusaidia kipindi akiwa na uwezo?

    Kwenye maisha kuna mambo mengi ambayo katika hali ya kawaida unaweza usielewe kwanini matatizo haya yananikuta mimi/yanatukuta sisi tu. Namna watoto katika familia na wazazi wanavyotendeana inashangaza. Kifupi wazazi wetu wanakumbana na matatizo ambayo wao wenyewe hawajui kwanini yanawapata...
  4. H

    Rais Magufuli: Pinda alinizuia kubomoa ila sasa hawezi, mimi ndio Rais

    Busara ya mtu i katika mienendo yake kwa watu na ndani yake yeye mwenyewe. Ikiwa wewe wasema fulan hana busara, fikiri juu ya matendo, mawazo na maneno yako kwako wewe mwenyewe na kwa wengine ni busara? Watu hudhani kuwa kusema kwa staa katika hadhara ndiyo busara, busara ni zaidi ya kusema...
  5. H

    Je, Tunao Ufahamu?

    Wanabodi, nawasalimu; moja kwa moja niende kwenye mada. Bila shaka ni ni suala pana ambalo ndani yake kuna taaluma mbalimbali. Kwa jinsi yake na namna yake ni mwelekeo unaolenga ustawi wa mtu kiroho na kimwili ukizungukwa na taaluma mbalimbali. Namna mambo yanavyofanyika na kuonekana katika...
  6. H

    Kuna familia zina laana ya asili

    Ni kweli kabisa kwamba, watu wengi katika familia nyingi hufanya hizi ibada na hutoa vitu mbalimbali kutegemea na mazingira ya eneo, kama mbuzi, ng'ombe, ndege n.k. kama sadaka. Kitu ambacho kimejificha hapa na wengi wetu huwa hatujui ni kwamba, hizi ni ibada za siri kiuchumi, ambapo madhara...
  7. H

    Kuna familia zina laana ya asili

    Tatizo ambalo ni kubwa na ambalo nimeligundua ni kwamba watu wengi hawajui nini kilichomo katika koo zetu! Inasikitisha sana kama hujui mababu zako katika koo waliendeshaje ibada zao, hapa kwenye ibada kuna vitu vingi sana mfano, matambiko yalihusisha vitu gani, sadaka zilizotolewa katika hayo...
  8. H

    Kuna familia zina laana ya asili

    Nami naomba nichangie kitu hapa. Huko nyumba niliuliza swali humu JF, Mafundo ya maisha ni nini? Licha ya kuwa watu walinijibu, lakini niliamua kuendelea kutafuta ukweli zaidi kwa watu mbalimbali juu ya Mafundo ya Maisha ni nini? Kwa kifupi sana mafundo ya maisha ni matatizo yote tulionayo...
  9. H

    Ukweli ni kitu gani?

    Chochote kilicho na asili ndiyo ukweli kwasababu ndivyo kilivyo kwa jinsi yake. Hakuna kisicho na asili halafu kiwe ukweli!
  10. H

    Ukweli ni kitu gani?

    Hakika kwa jinsi yake yenyewe haiwezi kuwa ukweli, kwasababu hakika sio asili, kama ulivyo ukweli ambao ni asili yenyewe. Kwa mfano, katika jamii kuna tabia, ambayo ndiyo ukweli. Lakini matokeo ya tabia nzuri au isio nzuri hiyo ni hakika ya jamii hiyo.
  11. H

    Ukweli ni kitu gani?

    Hicho unachokisema hapa ni Hakika, ambapo msingi wake unatokana na Nadhari. Tukirejea kwenye ukweli wenyewe ni kuwa moto unaunguza hata bila ya kuupima au vinginevyo, kwani moto haubadiliki badala ya kuunguza au kuchoma ukafanya kazi nyingine.
  12. H

    Ukweli ni kitu gani?

    Ukweli hauwezi kupimwa, wala kuwakikiwa, kwani wenyewe upo kama ulivyo, haubadiliki wala haufutiki
  13. H

    Ukweli ni kitu gani?

    Kinachowafanya watu wapingane sio ukweli, bali kinachofanya watu wapingane ni Nadharia (Theory)
  14. H

    Ukweli ni kitu gani?

    Huo sio ukweli, bali ni Nadharia (Theory)
  15. H

    Ukweli ni kitu gani?

    Ukweli si jinsi uvionavyo vitu kama ulivyo, bali ukweli ni jinsi vitu vilivyo.
Back
Top Bottom