NSSF inafuja pesa za hao inaowasema kwa kuwapunja mafao huku wakijenga miradi hewa kwa matrilioni ya shiringi, mfano nyumba za Degebichi Kigamboni, kilichofanyika ni wizi tu.
Vyama hivi "RAFIKI!" hivi sasa vinatembezwa kwenye miradi huko mikoani mikoani vikiwa na jukumu la kumsifu rais Samia kwa kugharamia miradi! Huku vikiwashutumu wapinzani!?
Baada ya Chadema kurudi kwenye siasa CCM imeanzisha umoja wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi, umoja huo umepewa jina la "VYAMA RAFIKI".
Lengo la umoja huo ni kuisaidia CCM kupambana na CHADEMA.
Kazi ya kupambana na Chadema ilianza jana huko kanda ya ziwa ambako walianza kwa kumsifu Rais Samia...
Gerson, hivi na wewe umekuwa mwanaccm? Nilidhani msemaji wa serikali ni mtumishi wa serikali na siyo mwanasiasa kama ambayo wewe unajifanya. Gerson acha kujibishana na Wanasiasa hiyo si kazi yako, si kila aliyemo jikoni ni mpishi, wengine ni wakata kuni, ndivyo na wewe ulivyo.
Kwa wale wanaosikiliza taarifa ya Habari ya Redio Wani Stirio mtakuwa mmeona jinsi hii stesheni ya Redio Wani Stirio inavyoliaibisha taifa.
Aibu hii inatokana na uduni wa usomaji wa taarifa ya Habari unaotokana na msomaji kutokuwa na kiwango cha elimu.
Msomaji hajui vituo, huenda mwandishi pia...
Ukitaka kumjua mtu kutana na ushirikiane naye, watangazaji ni makada wa CCM na studio wanakuwa kundi la watu watatu kazi yao ni kuchekacheka tu na porojo zisizohusiana na kipindi! Wanaraha sana kwani hawana wasimamizi wa vipindi na kama si mwanaccm usitume ujumbe, hautasomwa, hiyo ndiyo Wapo Redio.
Jana baada hafla ya kupokea ripoti ya Tume ya Jaji Chande redio Wapo ilikuwa na kipindi cha maoni ya wasikilizaji, msikilizaji mmoja alituma maoni yake ya kutokubaliana na baadhi ya hoja, cha kushangaza mtangazaji mmoja kati ya wawili walikuwa studio aliamua kumkataza wenzake kuendelea kuyasoma...
Mimi silipii, nilichofanya ni kukigeuza chini juu king'amuzi kisha nikabandika selotepu kwenye kibati cha kadi ili kupunguza "detection", kisha nikatyuni upya stesheni japo zinapatikana bila namba, muhimu ni kuzipata, karibuni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.