Nchi za kiisilamu ndizo ziko kwenye mapigano yasiyokwisha, mfano Naijeria wanaopigana kuilinda dini wanashambulia misikiti ya dini yao, ni upendo uliotukuka!
Majaji wa Tanzania huteuliwa na rais na rais hawezi kukuteua kutoka chama cha upinzani, hilo ni tatizo. Mara nyingi tumepinga mfumo wa majaji kuteuliwa na kula kiapo cha utii kwa rais na ndicho kumefanya kesi ya Lissu itumie mwaka mzima bila sababu za msingi zaidi ya kuyumbishwa na CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.