Recent content by Hismastersvoice

  1. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Kama DPP anaweza kukaidi kutoleta mashahidi kesi ya Lisu, je sisi kwangu pakavu tia maji, si ni vifo vinatusubiri jela/mahabusu!

    Mashahidi wanapewa kozi fupi ya jinsi ya kujibu.
  2. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Briefing ya TEC na Rais by Fr. Kitima

    Nimesikia
  3. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Ni mchakato wa aina gani hutumika kumpata mwenyekiti wa CCM

    Ndiyooooooo!
  4. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Mauaji ya 29/10 ndio maafa makubwa zaidi kutokea ktk historia ya nchi yetu tangu Ukoloni wa Mjerumani na Mwingereza ktk miaka 42!!

    Hatukuwa na namna, ilibidi tuwaue tu. Who are you! Kila nchi ina haki ya kuendesha mambo yake.
  5. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania KERO Mbwa wamezagaa Mtaani kwetu Kimara Temboni, wanatishia usalama wa Watu, hatua hazichukuliwi

    Nyumba zenu pangisheni wachina sita tu, mtaishi kwa amani.
  6. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Usijibizane na anayetaka kukutapeli kwenye Simu

    Wachaga wanajuana.
  7. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Mbona wewe unayetaka msaada ni "me"! pia? Atumie beking'i poda, hii ni tofauti na beking'i soda, hazifanani utendaji wake..
  8. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Most probable issues raised by TEC with the president, and if not, then TEC?

    Kupitia madrasa wanaweza, watakutana wenyewe kwa wenyewe kule kwao.
  9. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Usijibizane na anayetaka kukutapeli kwenye Simu

    Kilimanjaro haipo, Mchaga hatapeliki kifedha
  10. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Hili daftari ya wakazi huko ulipo lipo au ni kwetu tu

    Mamlaka kuu "SERIKALI" kila siku inatutangazia kuwa "TUSITOE TAARIFA ZETU BINAFSI KWA MTU YEYOTE ASIYEKUWA MTUMISHI HUSIKA WA SERIKALI KUU ASIYE NA KITAMBULISHO".
  11. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Wamiliki wa mabasi wapewa wiki moja kurejea stendi ya Magufuli

    Mabasi si ya Chalamila, wakati umefika wamuachie huyo Chalamila aweke mabasi yake.
  12. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa Kujenga Refinery Tanga, ni Uamuzi wa Kiume, Busara, Kishujaa, Kimkakati na Ukombozi wa Kiuchumi, Tutaweza Kuwalinda Mashujaa Hawa?.

    Usinilingie na suti ya kuazima, mwenyewe anaweza kuichukua wakati wowote, Uganda anaweza kubadili njia wakati wowote kulingana na mazingira ya kibiashara.
  13. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Saad Mtambule : Wanafunzi mkawaambie wazazi juu uhamiaji haramu Kinondoni

    Wazazi tusio wanaccm haituhusu.
  14. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Watanzania tuwe macho dhidi anayetaka kutugawa, kutuchochea na kututumia kuhatarisha amani na utulivu tulionao

    Anaonesha tayari anayo ajenda yake kuhusu tume aliyoiteua jana.
  15. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kukopa trilion 51 ndani ya miaka 5 bado mradi wa SGR Unasuasua tatizo nini?

    Ni Mwanza Tabora, Tabora ni njiapanda ya Kigoma na Mwanza ambapo reli mbili zinakutana na kufanya reli moja ya kwenda Dar es Salaam.
Back
Top Bottom