Recent content by Hismastersvoice

  1. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Nimeuliza AI swali kuhusu treason ikanijibu hivi

    Amri ya rais ndiyo hukumu kwa jaji.
  2. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Nimeuliza AI swali kuhusu treason ikanijibu hivi

    Unaua ili usiwe na kikwazo cha kutawala.
  3. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Nimeuliza AI swali kuhusu treason ikanijibu hivi

    Sawa, agizo la rais kwa majaji linasemaje?
  4. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Picha za machawa mbalimbali wa mama

    Kwani chawa chamila amezinduka!
  5. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania scrutinize the page that disseminated the mortuary announcement

    Asante mr Mcbeth.
  6. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Majivu yalichanganywa na simenti kwani haikua rahisi kulisafisha tanuri.
  7. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Je Wajua Taifa Bila Mhimili wa 4 Huru na Imara ni Taifa Mfu?. Je Watanzania ni Mazuzu?. Gazeti la M/halisi Lisamehewe Kuandika Ukweli au ni Zuzu Tuu?

    Ukimtetea mwanahabari mwisho wa siku utajikuta uko peke yako huku unayemtetea akimsifu anayemsurubu.
  8. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Ajabu: Samia kaanza kuongea na Wanahabari wakati hajamaliza Eda! 🤔

    Nchi za kiisilamu ndizo ziko kwenye mapigano yasiyokwisha, mfano Naijeria wanaopigana kuilinda dini wanashambulia misikiti ya dini yao, ni upendo uliotukuka!
  9. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Waziri na Naibu waziri wamesahaulika kwenye msiba?

    Tuelekeze wanakoishi tukalale matanga.
  10. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Kusema Majaji ni maCCM ndiyo kauli mbaya kuliko zote kwenye kesi ya Mh. Lissu

    Majaji wa Tanzania huteuliwa na rais na rais hawezi kukuteua kutoka chama cha upinzani, hilo ni tatizo. Mara nyingi tumepinga mfumo wa majaji kuteuliwa na kula kiapo cha utii kwa rais na ndicho kumefanya kesi ya Lissu itumie mwaka mzima bila sababu za msingi zaidi ya kuyumbishwa na CCM.
  11. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Kwa kweli bandari ya Dar es Salaam inahitaji kuongezewa eneo

    Wenyenchi hawataki Tanga wanataka Dar, wao wanachoangalia ni zaidi ya bandari.
  12. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Kwa kweli bandari ya Dar es Salaam inahitaji kuongezewa eneo

    Mizigo ikipakuliwa kwenye meli inatakiwa iendelee na safari zake, tatizo nyaraka haziandaliwi mapema.
  13. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Tutalalamika mpaka lini?

    Kumbuka alichokisema jaji Warioba, bunduki na risasi kila mahali.
Back
Top Bottom