Hongera kwa kuwa na msimamo thabiti kwenye kazi yako bila uoga japo juzi ulikubali kosa huku ukinua hauna kosa! "Nililazimishwa kunywa maji"! Kisha na kuja mbele yetu kwa kujiamini eti nililazimishwa! Shame upon you Mr. Lawyer.
Nyie waandishi wa Tanzania niliwachukia na kuwaona kama mbwakoko...
Kumsikiliza mchambuzi wa siasa Tanzania ni kumpoteza wakati, mkumbuke yule Bansen Bana, alipopewa ubalozi uchambuzi ukakata, ni njaa tu ilikuwa ikimsumbua; ni waoga wanaogopa kukamatwa.
Badala ya kuelezea uchaguzi uliofanyika asubuhi anakuja na porojo za jioni wakati upigaji kura umekwisha! Nchi na jumuiya zote za Afrika zimeukataa uchaguzi huo yeye anakuja na porojo za kupindua nchi bila manati!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.