Recent content by Hismastersvoice

  1. Hismastersvoice

    Wanachama 38 wa CHADEMA waliokamatwa kwa kusheherekea maadhimisho ya siku ya wanawake waachiwa uhuru

    Bila kutumia mbwembwe za ujuzi na umahili wa kupiga mabomu mambo yasingenoga na Lucas Mwashambwa angekosa cha kuandika.
  2. Hismastersvoice

    Breaking News: Moja kwamoja kutoka mtaani kwetu

    Tusheni inaruhusiwa na diwani analijua Hilo.
  3. Hismastersvoice

    Kihongosi: CHADEMA inakufa, Mbowe katoka wanagombana Mahakamani

    Hao polisi wanaowapiga mabomu wanawake kwenye sherehe ya wanawake ni vichaa.
  4. Hismastersvoice

    DOKEZO Waandishi wa Habari na Media Tanzania, tunateseka sana! Kosa moja, hukumu mbili, kupitia Sheria mbili, Mamlaka mbili Tofauti!. Ni Haki? Tufanyeje?

    Hongera kwa kuwa na msimamo thabiti kwenye kazi yako bila uoga japo juzi ulikubali kosa huku ukinua hauna kosa! "Nililazimishwa kunywa maji"! Kisha na kuja mbele yetu kwa kujiamini eti nililazimishwa! Shame upon you Mr. Lawyer. Nyie waandishi wa Tanzania niliwachukia na kuwaona kama mbwakoko...
  5. Hismastersvoice

    PostGE2025 Balozi wa Tanzani UN-DR. Abdallah Possi azimiwa mic na hotuba yake nzito yenye maelezo ya kweli na ya kina kuhusu uchaguzi wa Tanzania2025 yakatishwa

    Vituo vote nchini kura zilihesabiwa, hakuna kituo ambacho kura ziliharibika, acha uongo wee mbwakoko.
  6. Hismastersvoice

    Wachambuzi wa Vita vya Iran na Israel & Marekani, Mlikuwa wapi 29 Oktoba 2025 watoto wetu walipouawa?

    Kumsikiliza mchambuzi wa siasa Tanzania ni kumpoteza wakati, mkumbuke yule Bansen Bana, alipopewa ubalozi uchambuzi ukakata, ni njaa tu ilikuwa ikimsumbua; ni waoga wanaogopa kukamatwa.
  7. Hismastersvoice

    Mwigulu hana ulinzi kama aliokuwa nao Hayati Magufuli, wala Samia hawezi mpa ulinzi huo! Wahuni sio watu wazuri!

    Dereva tax ni nini? Hakuna dereva anayeweza kuendesha kodi, hiyo Tax isomeke TAXI ambayo ni gari ya kukodi.
  8. Hismastersvoice

    DOKEZO Kwenu uongozi wa Temeke hospital

    Hiyo hospital ilitangazwa kuwa Itakua chini ya uchunguzi, inawezekana huo uchunguzi nao unafanyiwa uchunguzi.
  9. Hismastersvoice

    PostGE2025 Balozi wa Tanzani UN-DR. Abdallah Possi azimiwa mic na hotuba yake nzito yenye maelezo ya kweli na ya kina kuhusu uchaguzi wa Tanzania2025 yakatishwa

    Badala ya kuelezea uchaguzi uliofanyika asubuhi anakuja na porojo za jioni wakati upigaji kura umekwisha! Nchi na jumuiya zote za Afrika zimeukataa uchaguzi huo yeye anakuja na porojo za kupindua nchi bila manati!
  10. Hismastersvoice

    Samia ndiye Rais wa Kwanza Kujenga Stendi Kila Mji Tanzania Hadi Mikoa Iliyokuwa Imeshindikana kama Arusha na Mbeya

    Wenzenu wanapiga hela kupitia tend za ujenzi, hizo stendi hazimlindi msafiri dhidi ya mvua na jua.
  11. Hismastersvoice

    Dar: Wanachama na Viongozi wa CHADEMA wazuiliwa tena kuingia Mahakama Kuu

    Huyo unayemuuliza alizuiliwa kuingia mahakamani.
Back
Top Bottom