Recent content by Hismastersvoice

  1. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania CCM ikishirikiana na vyama vibaraka wameunda umoja wao

    Hakuna hela za CCM, hizo ni kodi zetu.
  2. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Kwanini wastaafu hugeuka kuwa tegemezi kwa watoto licha ya kuwa wamekuwa kazini kwa miaka zaidi ya 25? Walikuwa wanapeleka wapi Pesa?

    NSSF inafuja pesa za hao inaowasema kwa kuwapunja mafao huku wakijenga miradi hewa kwa matrilioni ya shiringi, mfano nyumba za Degebichi Kigamboni, kilichofanyika ni wizi tu.
  3. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Uhuru wa Habari: Tuwakumbuke Mashujaa wa Habari waliopo na waliotangulia. Unawakumbuka kwa lipi?

    Mungu Mungu mwenyezi endelea kuzidisha penye mapungufu tea na tena.
  4. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania CCM ikishirikiana na vyama vibaraka wameunda umoja wao

    Vyama hivi "RAFIKI!" hivi sasa vinatembezwa kwenye miradi huko mikoani mikoani vikiwa na jukumu la kumsifu rais Samia kwa kugharamia miradi! Huku vikiwashutumu wapinzani!?
  5. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania CCM ikishirikiana na vyama vibaraka wameunda umoja wao

    Baada ya Chadema kurudi kwenye siasa CCM imeanzisha umoja wa vyama vilivyoshiriki uchaguzi, umoja huo umepewa jina la "VYAMA RAFIKI". Lengo la umoja huo ni kuisaidia CCM kupambana na CHADEMA. Kazi ya kupambana na Chadema ilianza jana huko kanda ya ziwa ambako walianza kwa kumsifu Rais Samia...
  6. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania CHADEMA: Jaji Mkuu aeleze sababu za kesi ya uhaini ya Tundu Lissu kutosikilizwa

    Wahusika wa upande wa washitaki bado wako kwenye kozi ya kutoa ushahidi.
  7. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania David Kafulila: Matumizi ya Mkaa na Kuni Duniani yanaua watu wengi kuliko UKIMWI

    Babu, bibi, mama na baba yako walikufa kwa kukulea wewe wakitumia kuni na mkaa! Baada ya kuvijua vimekuwa haramu! Na ulaaniwe.
  8. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Msemaji Mkuu Wa Serikali Gerson Msigwa awaita walipa kodi 'Nguchiro'. Ni kiburi cha aina gani hiki?

    Gerson, hivi na wewe umekuwa mwanaccm? Nilidhani msemaji wa serikali ni mtumishi wa serikali na siyo mwanasiasa kama ambayo wewe unajifanya. Gerson acha kujibishana na Wanasiasa hiyo si kazi yako, si kila aliyemo jikoni ni mpishi, wengine ni wakata kuni, ndivyo na wewe ulivyo.
  9. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania TCRA pigeni marufuku Redio One Sterio kusoma taarifa ya Habari

    Taarifa inayozungumziwa ni ya Redio One Stereo siyo ITV.
  10. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania TCRA pigeni marufuku Redio One Sterio kusoma taarifa ya Habari

    Sikiliza taarifa ya Habari saa. Saba mchana kisha uje hapa.
  11. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania TCRA pigeni marufuku Redio One Sterio kusoma taarifa ya Habari

    Kwa wale wanaosikiliza taarifa ya Habari ya Redio Wani Stirio mtakuwa mmeona jinsi hii stesheni ya Redio Wani Stirio inavyoliaibisha taifa. Aibu hii inatokana na uduni wa usomaji wa taarifa ya Habari unaotokana na msomaji kutokuwa na kiwango cha elimu. Msomaji hajui vituo, huenda mwandishi pia...
  12. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Wapo Radio hii ni aibu kwenu japo ni desturi yenu lakini hii ni too much

    Ukitaka kumjua mtu kutana na ushirikiane naye, watangazaji ni makada wa CCM na studio wanakuwa kundi la watu watatu kazi yao ni kuchekacheka tu na porojo zisizohusiana na kipindi! Wanaraha sana kwani hawana wasimamizi wa vipindi na kama si mwanaccm usitume ujumbe, hautasomwa, hiyo ndiyo Wapo Redio.
  13. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Wapo Radio hii ni aibu kwenu japo ni desturi yenu lakini hii ni too much

    Jana baada hafla ya kupokea ripoti ya Tume ya Jaji Chande redio Wapo ilikuwa na kipindi cha maoni ya wasikilizaji, msikilizaji mmoja alituma maoni yake ya kutokubaliana na baadhi ya hoja, cha kushangaza mtangazaji mmoja kati ya wawili walikuwa studio aliamua kumkataza wenzake kuendelea kuyasoma...
  14. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Hivi jamani kuna watu bado wanatumia decoders kuangalia vipindi?

    Mimi silipii, nilichofanya ni kukigeuza chini juu king'amuzi kisha nikabandika selotepu kwenye kibati cha kadi ili kupunguza "detection", kisha nikatyuni upya stesheni japo zinapatikana bila namba, muhimu ni kuzipata, karibuni.
Back
Top Bottom