Hivi???? Aaah kwanza huo usingizi unaupataje yani mkilala wanaume?
Yani unakaa macho makavu mwenzio akitikisa hata sikio tu we tayari umeshika jambia mkononi.
Huawei isharudi kwenye biashara kitambo tu. Kuna project mpya kibao zinakuja mfano siku chache zilizopita Volkswagen walisain mkataba na Huawei (Gari za VW zitumie Harmony OS)
Lengo langu ni kuonyesha watu kuwa Mediatek wale wa miaka kadhaa nyuma wame advance sana kiasi cha kuchuana na Qualcomm Snapdragon kitu ambacho watu hatukuwaza kuwa Mediatek watafika level hiyo
Tuanze na Android kwanza.
Android OS is a Linux-based mobile operating system.
Android na Harmony zinafanana Ila Harmony OS it is not a single-device operating system kama Android
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.