Habarini Wanajamvi
Mimi ni kijana nina mtaji wa 70m natamani kuagiza fuso na kuja kuifanyia modification hapa ndani ya nchi (Tabata Dampo au Arusha) iwe tandam iweze kubeba tani 18. Sasa nauliza kwa wenye uzoefu na hiyo kazi, wanisaidie gharama za kufanya modification na ushauri kua biashara...
Mimi nataka nijikite so naomba wenye uzoefu na kilimo hicho wanisaidie ushauri khs sehemu, aina ya mbegu na namna ya kuhudumia shamba. mtu anichek kwenye 0752 664814
Mimi ni mfanyakazi wa kampun flan hapa Sinza-Lion, kwa hiyo natafuta chumba kimoja cha kuishi maeneo karibu na kazini kwangu. Kwa hiyo wapangishaji wa vyumba au yeyote atakayeweza kunifanikishia hilo ajitokeze.
Wana JF, naomba msaada. Natafuta frem ya biashara ya kuuza nafaka popote pale ndani ya TZ ambapo biashara hiyo itanilipa. Naomba nijulishwe na bei yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.