Recent content by Himosolelo Mbeta

  1. H

    Hii ya Maalim Seif nimeielewa, ila hii ya Lubuva mh!

    kweli kabiaa. Tanganyika yetu iyooooo inarudi
  2. H

    Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

    Muwabaini tafadhali wahusika ili tuwatambue japo tahadhali ilishatolewa na mwanahalisi kuwa hali hiyo ingeweza kutokea. Hamkuchukua tahadhari????
  3. H

    Kardinali Pengo amkemea Lowassa

    Inasemekana juzi kati kuna mgombea wa chama X alitoa bahasha imenona na ikapokewa kanisa Katoliki huko Songea mjini, Pengo anajua hilo?
  4. H

    Mwanza Tete; Vijana Wa CCM Wang'oa Bendera za CHADEMA

    Hawa jamaa wanalazimisha kupendwa!!!! Itawezekana karne ya leo????? Mie simo!!
  5. H

    Ona jinsi Magufuli alivyozomewa leo 22/10/2015

    Hapo mnasisitiza ili muibe kura vizuri, hatuwaachii hata kidogo mmezoea
  6. H

    Magufuli akacha Mahojiano ya BBC

    Kumbe basi angeweza kuwasiliana mapema na Kikeke au Zuhura wakae eneo lenye uwanja mkubwa ili muda wa push up ukifika apige tizi la uhakika ili ngeli ipande
  7. H

    CCM kutopata kura za watumishi wa serikali

    Nafanya kazi ktk taasisi moja kubwa ya elimu. Tupo walimu 120 na wasio walimu 80. kura zote ni kwa UKAWA, ccm imeshindwa kutulipa madai yetu licha ya kujitapa imelipa
  8. H

    Wanaomdharau Kingunge wamekosa adabu

    nani CCM asiye mwizi na fisadi???
  9. H

    Waalimu stand up for your rights

    Walimu ni watu wasiojitambua ndo maana wananyanyaswa kila kona, hela zao zimechukuliwa na CCM bilions za kutosha na wanachekelea tu na wengine wanatumiwa na CCM kwa kazi maalum ya uchaguzi. Wajinga ndio waliwao
  10. H

    Ushiriki wa Dk. Wilbrod Slaa kwenye chama cha ACT-Wazalendo

    Siku hizi hata wasomi wanachanganyikiwa???? Ama kweli anaefilisika hajitambui
  11. H

    NAPE: Kuondoka kwa Mzee Kingunge Chama kimepata ahueni

    Nape anamwita mzee wetu "kizee" Ivi huyu kijana mwenzetu haogopi kutukana wazee???? Laana/uchuro huo
  12. H

    Mungu kushusha kikosi maalumu kumlinda Magufuli

    Hakuchaguliwa na Mungu, alichaguliwa na wanaCCM pale Dodoma bila kuwasikiliza wananchi, Sikiliza/soma hotuba ya mzee wetu KINGUNGE utaelewa vizuri
  13. H

    Magufuli utawezaje kujenga viwanda vya nyama kila mkoa?

    Ki uhalisia HAIWEZEKANI. Hata ingewezekana, umeme utatoka wapi coz TANESCO imefilisika mgao kila kona ya nchi
  14. H

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    namba inasomeka fresh. sawa kabisa mzee wetu, Mungu ampe maisha marefu
Back
Top Bottom