Kumbe basi angeweza kuwasiliana mapema na Kikeke au Zuhura wakae eneo lenye uwanja mkubwa ili muda wa push up ukifika apige tizi la uhakika ili ngeli ipande
Nafanya kazi ktk taasisi moja kubwa ya elimu. Tupo walimu 120 na wasio walimu 80. kura zote ni kwa UKAWA, ccm imeshindwa kutulipa madai yetu licha ya kujitapa imelipa
Walimu ni watu wasiojitambua ndo maana wananyanyaswa kila kona, hela zao zimechukuliwa na CCM bilions za kutosha na wanachekelea tu na wengine wanatumiwa na CCM kwa kazi maalum ya uchaguzi. Wajinga ndio waliwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.