Kagera tunako compile tutaweka hadharani, baada ya ngumi za karagwe. Wa kijani wanabamizana!!! Ujanja kuwekeana mamluki wa kuzomeana kwenye kampeni za ndani hata kurushiana mawe jukwaani mpk jana zilikuwepo mjini.
Wacha wapige hela, ukiona vipi na wewe pita kwa jirani kamata jogoo tambaa nalo, c kuchukua chako mapema, kabla ukawa hawajaingia mnk there will no longer be such dubious deals any more.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.