Recent content by Heyyouyoungman

  1. H

    JamiiForums Usiku wa manane

    Nani yuko live tubadilishane mawazo
  2. H

    Tusimtafute mchawi nani Turudi kwenye maboresho ya kanuni za mpila wetu.

    Kwanza hata huko Ulaya sijawah sikia at Arsenal wako Old Trafford wanafanya Training siku moja kabla ya Mechi sio kwa mechi za Ligi Kuu wala FA. Kila siku mnacheza kwenye uwanja huo afu unakuja kugomea Mech eti kwa sababu hujafanya mazoez ya Nusu saa... Upuuzi kabisaa
  3. H

    Empty Container inauzwa feet 20 kwa Million tatu tu.

    Itanidharim kias gan kulisafirisha mpaka Sumbawanga. Mwenye kufaham
  4. H

    Hatua za uchimbaji kisima cha kisasa

    Nimekumbuka sans Tito Villanova.. Apumzike kwa amani
  5. H

    Viongozi wa CAF wasimiliki timu zinazoshiriki mashindano wanayosimamia

    Sikuangalia Mechi Jana... Maana niko Sumbawanga huku ndani ndani kabisaaa Kunaitwa NANKANGA. Simba alishida goal ngap?
  6. H

    Wadada wanaoondoka nyumbani kwa kivuli cha kwenda kufanya kazi sehemu wengi wao hugeuka kuwa malaya

    Ila huwa najiuliza Mbona kama Malaya wanapata.pesa sana, kwa nin wengi wao maisha yao ni yaleyale ya wasaka Tonge.... Au na wao wanaish kama wavuvi kutumia kipato chote kwa kuwa ziwa au Bahari haikauki
  7. H

    Vipaji 20 bora vya muda wote kwenye muziki wa Tanzania

    I second you ... Na Bushoke sijui kwa nin watu wanamchukulia Poa. Isee Bushoke ni Maana halisi ya Kipaji cha Mziki hapa Tanzania, Ni mzuri kuanzia Utunzi mpaka kuimba. Banana Zoro pia nisingemuweka Mbali
  8. H

    Waalimu hawataki kufundisha shule za vijijini

    Kunq vijana wakati nawafanyia maombi ya Ajira za ualimu. Kauli zao zilikuwa " Bro nijazie shule zq ndani ndani huko vijijini ili nipate kazi, na ntaenda kukomaa" Few Moment later baada ya kupata Ajira. Wakaanza kupiga sim " Bro ukitaka kuhama unafanyaje??? Maana huku bro sio kabisa" Serikal ina...
  9. H

    Tofauti ya ukurasa wa Yanga na ukurasa wa Simba huko Instagram

    Kutoka kwenye comments chache hapo juu.. kweli nimeamin kuna uhusiano wa kweli kati ya Kuwa Shabik wa Simba na Umbumbumbu... Simply Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu. Na hilo halikusemwa na Shabik wa Yanga au Kiongozi wa Yanga bali Kiongozi wa Simba... Kweli alijua anaowaongoza ni MBUMBUMBU
  10. H

    Kitakachoifanya Simba ikose ubingwa sio ubora wa timu bali ni udhaifu wa uongozi wa club ya Simba

    Kwamba hii Nchi Kila Mtu ni Utopolo??? Yaan kwenye hizo Timu zote tunazolalamika kila siku kuwa GSM anadhamin na kwamba kupitia udhamin wake kuna faulo zinachezeka hiv hakuna hata Mwanasimba mmoja wa anayeweza kutoka hadharan na kusema hizo Faulo za GSM????? Maana naona hoja nyingi zimekaa...
  11. H

    Shirika la Bima la Taifa kuingia barabarani kukagua bima za vyombo vya moto imekaaje?

    Mdau alikujibu kwa dhana uliyosema bima fake zimekuwa nyingi. Hakuna Bima feki inayoweza kusoma kwenye mfumo wa TIRA. Makosa ya kawaida yanayofanyika katika Bima ni Under cutting hasa kwa magari ya Biashara, na Mwenyejukum la kufuatilia hilo ni TIRA na sio NIC maana hata wao Wanafanya makosa...
Back
Top Bottom