Kwanza hata huko Ulaya sijawah sikia at Arsenal wako Old Trafford wanafanya Training siku moja kabla ya Mechi sio kwa mechi za Ligi Kuu wala FA. Kila siku mnacheza kwenye uwanja huo afu unakuja kugomea Mech eti kwa sababu hujafanya mazoez ya Nusu saa... Upuuzi kabisaa
Ila huwa najiuliza Mbona kama Malaya wanapata.pesa sana, kwa nin wengi wao maisha yao ni yaleyale ya wasaka Tonge.... Au na wao wanaish kama wavuvi kutumia kipato chote kwa kuwa ziwa au Bahari haikauki
I second you ... Na Bushoke sijui kwa nin watu wanamchukulia Poa. Isee Bushoke ni Maana halisi ya Kipaji cha Mziki hapa Tanzania, Ni mzuri kuanzia Utunzi mpaka kuimba. Banana Zoro pia nisingemuweka Mbali
Kunq vijana wakati nawafanyia maombi ya Ajira za ualimu. Kauli zao zilikuwa " Bro nijazie shule zq ndani ndani huko vijijini ili nipate kazi, na ntaenda kukomaa" Few Moment later baada ya kupata Ajira. Wakaanza kupiga sim " Bro ukitaka kuhama unafanyaje??? Maana huku bro sio kabisa"
Serikal ina...
Kutoka kwenye comments chache hapo juu.. kweli nimeamin kuna uhusiano wa kweli kati ya Kuwa Shabik wa Simba na Umbumbumbu... Simply Mashabiki wa Simba ni Mbumbumbu. Na hilo halikusemwa na Shabik wa Yanga au Kiongozi wa Yanga bali Kiongozi wa Simba... Kweli alijua anaowaongoza ni MBUMBUMBU
Kwamba hii Nchi Kila Mtu ni Utopolo??? Yaan kwenye hizo Timu zote tunazolalamika kila siku kuwa GSM anadhamin na kwamba kupitia udhamin wake kuna faulo zinachezeka hiv hakuna hata Mwanasimba mmoja wa anayeweza kutoka hadharan na kusema hizo Faulo za GSM????? Maana naona hoja nyingi zimekaa...
Mdau alikujibu kwa dhana uliyosema bima fake zimekuwa nyingi. Hakuna Bima feki inayoweza kusoma kwenye mfumo wa TIRA. Makosa ya kawaida yanayofanyika katika Bima ni Under cutting hasa kwa magari ya Biashara, na Mwenyejukum la kufuatilia hilo ni TIRA na sio NIC maana hata wao Wanafanya makosa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.