Moderator usifute neno mbagala kwenye Tittle.
Sina mambo mengi ninaweza penda mwanamke yeyote just awe anaonekanika tu (Uzuri Basic), Awe anaishi Mbagala hili isiwe shida kuonana na kuseti hatua nyengine.
Sifa nyengine asiwe na mtoto, Umri asizidi 27.
-----------
Kwa wakati huu nahitaji...
Nimetoa mfano based na content, yeye kasema watangazaji kutoka Cloids, Wasafi kwani watangazaji wote happ Crown ni wakutoka hizo radio wengine si new bie ambao mishara haifiki hata million moja.
All uwo mfano weka idadi yotote unayotaka wewe na ujumlishe pesa.
Safi Mkuu, saponins yako inahitajika ikitokea interview ya kustukiza unaweza kosa nauri.
Hapa kwenye Emails nina kampuni zaidi ya tano wanaweza niita muda wowote.
Uzi mzima hakuna aliyejibu swali.
Jibu:
kwa swali lako ilibidi pia uulize pesa za kufungu station wametoa wapi kama ujauliza hili swali maanayake unajua ni mtaji wanajua wao walipoutoa basi hata hio mishahara ya kuwalipa watangazaji ni sehemu ya mtaji kabla station ijaanza kuingiza faida...
Habari,
Kwasasa sina kazi, nilikuwa nafanya kazi kwa wachina mwezi May kampuni ikapunguza wafanya kazi kutokana na sababu za kiuchumi.
Mwezi uliopita nime Apply sana kazi bado naendelea kufanya Applications na kwenda interviews mwisho jana kwahili hakuna tatizo na naamini nitapata kazi...
Ungejua kama hizo kampuni kuna Amount ya pesa wameiweka tu just kwa watu wanokopa mara ya kwanza na kulimbia tu usingeona kama umewakomoa.
Maelfu ya watu kama wewe wanakopa na kukimbia mara ya kwanza ila jua kuna Malawi ya watu ambao wanakopa na kulipa. Ni sula la mahesabu zaidi.
wao...
Sidhani kama unawakomoa, kikawaida huyo anakua na wateja zaidi ya 200 wakuawafanyia kazi mpaka wengine ngumj kawafikia wewe hata ufanye lolote kwake haina shida.
Kuna dada alikuwa anafanya namsadia kutuma sms kwenye PC yangu wateja 800 anawatumia sms ukijibizananae baada ya dakika hata akukumbuki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.