Recent content by hesabu900

  1. H

    Watanzania 2 wakamatwa na kilo 15.6 za Heroin nchini India

    Watanzania wawili wamekamatwa na zaidi ya kilo 15 za heroin katika uwanja wa ndege mjini Chennai nchini India. Watanzania hao (Mwanamume na mwanamke) waliofika Chennai kwa ndege ya Qatar Airways 528 kutoka Johannesburg kupitia Doha, kwani hawakupata ndege ya moja kwa moja kwenda Bengaluru...
  2. H

    Jinsi wanigeria wanavyoingia USA kila siku

    Hakuna kazi ya u dereva iwe taxi... Ubber.. Lori.. mshahara dola 100 kwa saa marekani. Acha kudanganya watu
  3. H

    Serikali futeni uongozi wa maabara ya kupima Covid19 kwa uzembe wa kuchelewesha majibu ya vipimo makusudi

    Kiukweli pale Ubungo external ilipo hii maabara kuna uzembe wa hali ya juu. Abiria wanaachwa na ndege sababu ya ucheleweshaji wa majibu ya vipimo vya Corona. Watalii, Wafanyabiashara na Wageni wanalalamika. Huu uzembe unasababisha hasara kubwa sana. Watalii na wageni wataacha kuja Tanzania...
  4. H

    Wizara ya afya imetoa muongozo kwa watumiaji wa magari ya Mwendokasi

    Si waruhusu magari binafsi yapewe vibali vya kusafirisha abiria. Hawaoni kuwa mwendokasi haitatosha. Au wanataka mpaka watu waanze kufa vituoni nchi ipate aibu kimataifa. Latra ruhusuni magari binafsi.
  5. H

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Mleta hadithi kukutana na wabongo ambao zero exposure plus ugumu wa maisha .... Wamebaki kujiliwaza. Eti kuna mtu anasema atapiga punyeto hii hadithi. Hivi ina kitu gani hasa cha ajabu
  6. H

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Hii ni hadithi tu ya mtu aliyefika South Africa. Ni kama anaota ndoto fulani ya zari la mentali... Imagination... Halafu anataka kuifanya kweli
  7. H

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Nasoma kama. Hadithi... Ya mtu anayeota. Lakini hakuna ukweli
  8. H

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Hii ni story tu kama ya zari la mentali lakini haina uhalisia kabisa sema tu kujipoza uan uchungu wa maisha.. Story inafurahisha watu wanavuta picha wanaona wako South na dem mzuriii.... Lakini akili yao Inashindwa kuchanganua akina ya mtu anayeongelewa
  9. H

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Nimezaliwa dar na kukulia dar... Pia hv big exposure outside of Tanzania and African continent.. So usione kama. Nabahatisha. Tena mayor kwa nchi kama South Africa iliyo na high rate of ujambazi... Unadhani mayor atakuwa kama mayor wako akina masaburi au kimbisa. Stop joking na kufanya vitu...
  10. H

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Sijui kama unanielewa... Changudoa ana maisha.... Kajipanga barabarani anajiuza.... Wewe ongelea dem anaishi yuko soko la mitumba tandika mwisho... Hajala. Hana hela ya mama mtilie... Kazalishwa na madereva wa daladala... Vuta tu hiyo picha how she look like
  11. H

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Mayor anagonga dem wana share na wauza mitumba na madereva wa daladala..... Achane utani nyie.
  12. H

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    Ndio diwani lakini keshakuwa mayor... Ni sawa na useme waziri ni mbunge... Sawa ni mbunge lakini ndio keshakuwa waziri... Gari.. Nyumba.. Ulinzi... Mshahara.
  13. H

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    But still ni mayor... Haileti sense. Kabisa. Yaani mayor wa jiji la Durban akawe na chokoraa asiweza hata kujinunulia breakfast ya mama mtilie. Yaani mayor ana share dem na wauza mitumba? Yaani kibongo bongo ni mayor wa Dar ana share dem na wauza mitumba wa karume. Huku kapaki v8 lake. Kwanza...
Back
Top Bottom