Tusameane mimi hata sikutaka kusimulia maana sio jambo la kujivunia ila nataka watu wajifunze kitu na wakiona malaya wasimchukulie poa kuna kitu nyuma yake.
Sehemu ya Nne.
Naomba Iwe sehemu wa mwisho leo mpaka Kesho.
Nikauchuna kama hakuna nilichosikia maana kwanza nimechoka ,nahisi maumivu makali ya mwili pia nina mawazo mengi juu ya hatma ya maisha Yangu yanavyoendeleea .
Mwalimu masumbuko akaendelea kuita wee wala hakuchoka kiukweli mimi...
Sehemu ya Tatu..
Wapenzi naomba mnisamehe sana mimi sio mpenzi wa kuandika maana mara nyingi mimi nashinda Telegram,fb, Instagram kule hakuna kupanga uandishi ila nitajitahidi kuleta kitu kieleweke.
Kuhusu mapovu nimeshayazoea ila nataka niifundishe jamii kuwa makini na watoto wao wa kike hadi...
SEHEMU YA PILI.
Kiukweli sikuwa na fanya vizuri darasani ila ninachokumbuka ni usumbufu tu wa kutongozwa,hivyo baada ya migogoro ya wazazi kuendelea na ndipo waliamua kutengana sikuyapenda maamuzi ya wao kutengana pindi sisi tukiwa wadogo hapo mimi niko darasa la saba naenda kuhitimu elimu...
Jamani wana jf.
Nawapenda tena nawapenda sana.
Kwanza nianze na kukasirika kama kuna watu wanajifanya wanajijua vile, eti herufi kubwa wewe jinsia gani, niseme tu haiwauhusu!
Sasa naomba nianze na mada yangu jioni ya leo, hivi kwanini wanaume wa leo mmepunguza kuhonga jamani? Miaka ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.