Recent content by hernanes96

  1. H

    mayai uvunguni

    mke katika kufanya usafi chumbani kwake akakuta sanduku uvunguni.akafungua na kukut mayai matano na sh milion 1.jioni akamuuliza mumewe na ilikua hivi MUME; usijali,huwa nikisex nje ya ndoa naweka yai humo MKE; kumbe mume mwaminifu eeh! yan umetoka nje ya ndoa mara tano tu katika miaka miaka...
  2. H

    sokomoko bhana

    usiku mmoja sokomoko alikuwa na mkewe na mazungumzo yakawa hivi; MKE; hivi mme wangu,kati ya mimi na pombe unampenda zaidi nani? SOKOMOKO; napenda pombe mke wangu. MKE; yani hivihivi unanijibu kwa kujamini kabisa kuwa unapenda pombe?? SOKOMOKO; yani wewe badala ya kumshukuru mungu...
  3. H

    ikiwa wewe ndo ticha utafanyaje?

    ticha kawaambia wanafunzi wataje kazi za wazazi wao watoto wengi walitaja kazi za wazazi kuwa ni waajiriwa serikalini na wengine wamejiajiri ilipofika zamu ya john hali ilikua hivi; john; baba simjui ila mama anajiuza usiku kila siku ticha; haraka nenda ofisi ya mwalimu mkuu ukamweleze...
  4. H

    Salam kwenu wana JF wote

    kwa nini unasema hivyo mkuu
  5. H

    Merry christmas & happy new year

    kwa wana jf wote,nawatakia heri ya sikukuu ya krismas na ile ya mwaka mpya amani na upendo daima
  6. H

    Salam kwenu wana JF wote

    haitii mimba wala haitapishi mimi ni mgeni humu na hekima ya mgeni ili apate mapokezi mema,salam ndo kitu cha kwanza!. HABARI ZENU MEMBERS WENZANGU WA JAMII FORUM,i wish tutakuwa pamoja kwa amani na upendo daima.
  7. H

    Majina ya kufurahisha

    Taja jina ambalo ukiliona au kulisikia unafurahi sana. Mfano: mhe, mkosamali
  8. H

    Kama wewe ndo baba utafanya nini?

    Baba; hivi juma mwanangu,pindi ninapokupa kichapo kikali hasira zako unamalizia wapi? Juma; huwa nachukua mswaki wako nasugulia chooni!! Ungekua baba ndo wewe ungefanya nini?
  9. H

    Wakenya na matani yao

    Okumu; venye kwenu mko wengi hadi mmeweka traffick lights Omoki; vile we ni mweusi hadi ukiget in the car inakua tinted Okumu; ati street kwenu kuna wezi hadi usiku mnaingiza geti ndani Omoki; ati kwenu ni washamba hata mkagombania calculator mkidhani ni simu Okumu; yani venye uko na face...
  10. H

    Salam kwenu wana JF

    kwa waislamu asalam alaikum kwa wakristo tumsifu yesu kristo kwa wasio na dini habari zenu im a new member in this site
  11. H

    Baba na dogo

    Baba; Hivi mwanangu pindi ninapokupa kisago cha mbwa mwizi hasira zako unamaliziaga wapi? Dogo; Huwa nachukua mswaki wako nasugulia chooni. Dogo yupo "ICU" anapumulia mashine.
  12. H

    mkwasa mm sijaelewa ile sub

    unaongoza gol mbli bila,hata dk ya 70 bado unatoa mtu ambae alikua anafanya kaz kubwa unaweka m2 wa show game mudathir alicheza vema na himid mao pale kati na kufanya stars kudominate game,coz walielewana sana na ni watu wa kazi full time,kumtoa mudathir kulimuathir mao kwa kua ndemla sio...
  13. H

    Huyu mume ana majibu ya hovyo

    Mke; honey,usiku nmeota umeninunulia cheni ya dhahabu mpenzi. Mume; usijali, rudi tu usingizini ukaivae Mke akazimia hapohapo
  14. H

    Tucheke sote

    pwaha ha ha ha ha haaaaaa
Back
Top Bottom