Jana kuna mwanaccm alipost hiyo habari akiambatanisha na picha mahali nikauliza swali ambalo mpaka sasa sijajibiwa. Kwenye hiyo picha kulikuwa na kadi za wanaoitwa wanachadema waliounga mkono juhudi, ajabu kadi zote zilikuwa na hali mfanano yaani zote zilikuwa mpya. Swali je watu wote hao zaidi...
Yale yale ya aliyeonyesha ubovu wa jengo udsm kukamatwa, aliyeonyesha shida ya maji udom kukamatwa na aliyeonyesha ubovu wa barabara kusakwa kwa uhujumu. Vioja vinaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaweza kuonekana shujaa kwa wazembe kama wewe kwa kusababisha wananchi wake wengi kufa kwa kutokuchukua tahadhari za kujikinga. siku mkianza kufa kama kuku naomba mje na mapambio haya haya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.