Recent content by Herman1992

  1. Herman1992

    Makonda ha-fit kuwa Waziri Kamili, icho kiti kilipaswa kuwa cha MwanaFA

    Bashite kwa nchi yenye utawala wa sheria sasa hivi alitakuwa kuwa jela,na sio mbunge wala wziri.
  2. Herman1992

    Mvua siku 3 tu hiyo SGR yetu imesombwa na maji

    Mtoa mada,unapost picha zinazozua taharuki mtandaoni
  3. Herman1992

    Hali ya usalama nchini inazidi kuwa tete

    kuna pia sehem ya una ignore ,tangu nianza kuitumia imeniepusha na mengi
  4. Herman1992

    PostGE2025 Kulikoni mashirika ya ndege na kampuni za mabasi zime cancel safari za kuanzia tarehe 07/12

    Aisee Unawafahamu watanzania wote mil 60,na sifa zao,wote hawana sifa ya kuingoza taifa?
  5. Herman1992

    PostGE2025 Niwakumbushe tu, wale waliojikuta waandamanaji sana, sasa hivi wameshasahaulika, sasa na wewe jikute una mapenzi sana kuandamana

    Waliopoteza maisha yao tayari, huko walipo wataumia sana wakiona tuliobaki tumeogopa kudai haki na uwajibikaji,aluta continua,haki itashinda no matter what.
  6. Herman1992

    PostGE2025 Muliro: Tutaendelea kuwakamata wanaopanga njama za uhalifu

    Aliyesema atakata watu vichwa,ashakamatwa?
  7. Herman1992

    Serikali yoyote duniani iliyowekwa na wananchi huwa haitishiwi kwa matamko na maneno ya michambo mitandanoni

    Sema raia tuna hasira,mada kama hizi ni za kupuuzia kabisa.
  8. Herman1992

    Sheria ya Mashirika ya Dini kuomba msamaha wa kodi waagizapo vifaa ndio hasira ya TEC wanataka waingize vitu bure bila kodi

    So huwa unaenda kuonyesha waliokutuma ulichoandika,unapata chako,vipi huwa wanaangalia na umejibiwaje ili waone kama hela zao zinafanya kazi?? Au kama unadhani unatetea maslahi yako kwenye chama,umechelewa kusoma alama za nyakati.
  9. Herman1992

    ipi ni vpn nzuri kutumia kwenye PC

    turbo vpn,kama unatumia google browser,add kama extension,ipo free na paid; natumia ya free bila tatizo lolote
  10. Herman1992

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    FREE TUNDU ANTIPAS LISSU NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS , NO ELECTION. NO REFORMS...
  11. Herman1992

    Msaada Mitihani ya kujiunga na VETA

    Mtihani NI uelewa wa kawaida hakuna haja ya kusoma,uko almost kama mtihani wa Darasa la saba
  12. Herman1992

    Tanzania tunawanyonya sana IT experts. Tuwape thamani sawa na kazi zao

    Hii issue ya AI inaenda kuleta disaster kwenye tasnia ya web development
Back
Top Bottom