Imesemekana na kuthibitika kuwa, kwa sasa wananch wengi wanapokaribishwa ktk mkutano au semina ya kujadili mambo ya maendleo, huachakufikilia lile linalozungumzwa na badala yake huanza kufikilia juu ya posho.
Natoa taarifa kwa wanangara na viunga vyake, kufika eneo la posta ya zamani ili kumskiliza mtetezi wa wanyonge ndugu mh mbowe akiambatana na jembe na mwanasheria tundu lissu kuanzia saa nne asubuhi. Makamanda wote mnakaribishwa ili mweze kupata ukweli wa yale yanayotendwa na serikal ya ccm pia...
Huu ni mwaka wa 23 sasa toka Tanzania iingie katika mfumo wa vyama vingi lakini wilayani Ngara imeonekana mfumo huu ulichelewa kuingia. Lakini kiukweli mambo yalivyo uchaguzi ujao Chadema wanabeba
jana mbunge mmoja wa bunge la tanzania ajinadi kwa kupata division one ya hesabu. Hv kweli kama mh mbunge anaye wawakilisha watu anachemka kutofautisha division one na A kuna haja ya kuwemo bungeni!
wakati prukshani za kutaka kuingia ikulu zikipamba moto, mbunge wa jimbo la Ngara mh Ntukamazina Aloyce ametangaza kutogombea ubunge jimboni hapo. Hayo aliyasema wakati akiongea na wanachama wa NUSO(wanavyuo vikuu watokao Ngara) tawi la Dodoma mwezi Mei mwaka huu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.