Recent content by Herbert Nkuluzi

  1. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Mheshiwa Lissu kajitetea vibaya kwenye kipengele cha heshima kubwa aliyonayo kimataifa

    Sasa huo ni uhaini? Kama ni uhaini? Uhaini ni nini?
  2. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Mheshiwa Lissu kajitetea vibaya kwenye kipengele cha heshima kubwa aliyonayo kimataifa

    Hakika yangemwua ,Mungu alimwepusha na lawama hizi hakika
  3. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania UEFA wameona madudu ya infatino ila CAF tumeona tumeona neema kwake

    Kila mtu hutetea kinachompa faida
  4. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania TANZIA Pwani: Polisi wawili wagongwa kwa mkupuo na kufariki

    Dahhh too young ,Mungu atuepushe na ajali zisizotarajiwa
  5. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Msaada naomba kujua je, mashahidi walioitwa na Tundu Lissu akina Samia, Majaliwa, Mpango wanaenda kutoka ushahidi upi mahakamani?

    Lissu anajua vizuri wakija watakuwa kituko cha dunia maana atawagaragaza vibaya sana
  6. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Waajiriwa wengi wanauonea wivu uhuru wa waliojiajiri, lakini hawajui gharama ya huo uhuru

    Ni kweli kujiajiri ni mshikemshike haswa kama una roho nyepesi utakimbia Kwanza huenjoy pesa yako maana ushindani ni mkali ukilala umeliwa
  7. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia kundi kubwa la CCM hivi vyote wamekosa Akili na elimu

    Hao ni janga la taifa
  8. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Hili linahitaji kuungwa mkono na kuipongeza Serikali

    Kwa hili naipongeza serikali
Back
Top Bottom