Huu ndiyo ukweli mchungu kwamba kama ushatembea na wanawake 10 huenda mmoja alikuwa victim ila wewe umetoboa.
Kwa uhalisia mtu akigundulika ana HIV ni vema ahakikishe anawalinda wengine wasipate maambukizi kwa kutumia dawa vema au kwa kuhakikisha anasisitiza safe sex all the time.Taifa ni letu...
Hiki ndicho ninachokiamini pia na nadhani mtu akipimwa akakutwa ana HIV anapaswa awe mwungwana kwa kuhakikisha anawalinda wengine wote dhidi ya maambukizi maana
Sijawahi kukopa mtaani ila kwa uhalisia riba zosizo na mrengo wa kumsaidia mtu ni chanzo cha taifa kupoteza kodi nyingi kwa kuwa anayekopeshwa akifeli kulipa akapoteza mali zake vilevile maana yake biashara imekufa na kodi na ushuri navyo vimepotea kwa serikali.
Umaskini hautaondoshwa haraka...
Yaani nitakuwa chizi kupiga kura hapa
Yaani ni sawa na Messi kumlinganisha na Mbape ni utoto uliotukuka.
CHAMA Kathibitisha ubora hadi CAF wanamtambua kama among top scorers of all time.Anayinganishwa sharti athibitishe ubora zaidi ya hapo au kufikia hapo
Mada za hivi ndizo zinapaswa kuwepo jukwaani
Ukweli ni kwamba Simba ni timu yenye uwezo mkubwa tu dharau za baadhi ya wanayanga ni upungufu wa hekima au ushahidi kuwa watz wengi vichaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.