Katika maisha kubali kwamba si kila ulichokitaka maishani utakipata na utakavyovikosa usihuzunike sana amini kwamba ulichofanikiwa ndiyo fungu lako hapa duniani.
Kwa mshahara wa laki 5 nipe calculation ya mkopo wa mwaka mmoja ukope sh ngapi kisha nikuoneshe kwamba huwezi kutoboa kwa njia hiyo
Kumbuka mshahara wako unapaswa kubaki 1/3 means kopa milion 3.2 hivi kwa makato ya Tsh 333333 ubaki na 166666 mshahara
Hivi unaijua laki na sitini na sita kweli...
Sasa biashara ni location kaka huwezi kwenda kuweka pesa uchochoroni ambako kuirejesha ni mbinde ndiyo maana simshauri mtu kukopa visenti japo nashauri asikope hadi kufunga mlango wa kukopesheka once more hata na bank nyingine
Mfano miaka mitano ni moderate kabisa na pesa mtu anachukua nyingi...
Ishu sio riba kubwa kwani wewe unaweza kumpa mtu milion 10 kwa miaka 10 afu uweke riba ya milion 1 ? Jibu ni hapana lazima utarget faida kumbuka hiyo ni pesa nyingi ambayo akifa huyo mtumishi huenda ukawa umeipoteza so the higher the risk the higher the profit.
Mimi nakopesha ila huwa nikimpa...
Swali ni je hiyo milion 4 utaizalisha kwa kipi? Frem za biashara tu zilizo location nzuri miji ya kati kwa mwezi ni Tsh 250000-300000 na unalipia at once means ukope milion 4 ulipe mil 3600000ubaki na laki 4 haya uje ukarabati wa sehemu husika hapo utarudi kukopa tu taka usitake 🤣
Ushauri mzuri kwa watu waoga ,ukikopa milion 2 kwa zama hizi huna kikubwa utakachofanya ,neno ni moja tu kopa kwa malengo ya kuzalisha na hasa uwe tayari umeanzisha kitu na kinalipa kiasi kwamba ukiongezea mtaji zaid kinakuwa better zaidi bila hivyo top up huikwepi
Sioni ubaya wa top ups kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.