Recent content by Herbert Nkuluzi

  1. Herbert Nkuluzi

    Kwanini Majaliwa anashangiliwa na Watanzania wengi bila kujali dini wala kabila?

    Hakudhulumu vya watu kwa kauli zake hivyo anapendwa
  2. Herbert Nkuluzi

    Ukweli gani mgumu umekubaliana nao baada ya kuwa mtu mzima?

    Katika maisha kubali kwamba si kila ulichokitaka maishani utakipata na utakavyovikosa usihuzunike sana amini kwamba ulichofanikiwa ndiyo fungu lako hapa duniani.
  3. Herbert Nkuluzi

    Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Kwani kuchapisha picha ya Raisi akiwa na mtu yeyote ni kosa kisheria?
  4. Herbert Nkuluzi

    Ambulance yenye mgonjwa ikisimamishwa na askari ili kupisha msafara wa kiongozi

    TUsubiri wajae kiburi zaidi ili tuwaondoe kwa hasira
  5. Herbert Nkuluzi

    GE2025 Tarime Mjini; Mgombea wa ACT-Wazelendo, Jackson Kangoye aenguliwa na INEC kumsaidia Esther Matiko

    Inasikitisha kwa sheria na style hii sioni kwa nini tuendelee na uchaguzi
  6. Herbert Nkuluzi

    Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    Kwa mshahara wa laki 5 nipe calculation ya mkopo wa mwaka mmoja ukope sh ngapi kisha nikuoneshe kwamba huwezi kutoboa kwa njia hiyo Kumbuka mshahara wako unapaswa kubaki 1/3 means kopa milion 3.2 hivi kwa makato ya Tsh 333333 ubaki na 166666 mshahara Hivi unaijua laki na sitini na sita kweli...
  7. Herbert Nkuluzi

    Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    Sasa biashara ni location kaka huwezi kwenda kuweka pesa uchochoroni ambako kuirejesha ni mbinde ndiyo maana simshauri mtu kukopa visenti japo nashauri asikope hadi kufunga mlango wa kukopesheka once more hata na bank nyingine Mfano miaka mitano ni moderate kabisa na pesa mtu anachukua nyingi...
  8. Herbert Nkuluzi

    Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    Ishu sio riba kubwa kwani wewe unaweza kumpa mtu milion 10 kwa miaka 10 afu uweke riba ya milion 1 ? Jibu ni hapana lazima utarget faida kumbuka hiyo ni pesa nyingi ambayo akifa huyo mtumishi huenda ukawa umeipoteza so the higher the risk the higher the profit. Mimi nakopesha ila huwa nikimpa...
  9. Herbert Nkuluzi

    Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    Swali ni je hiyo milion 4 utaizalisha kwa kipi? Frem za biashara tu zilizo location nzuri miji ya kati kwa mwezi ni Tsh 250000-300000 na unalipia at once means ukope milion 4 ulipe mil 3600000ubaki na laki 4 haya uje ukarabati wa sehemu husika hapo utarudi kukopa tu taka usitake 🤣
  10. Herbert Nkuluzi

    Kama wewe ni mtumishi wa umma au mfanyakazi anayetegemea mshahara, fuata ushauri huu

    Ushauri mzuri kwa watu waoga ,ukikopa milion 2 kwa zama hizi huna kikubwa utakachofanya ,neno ni moja tu kopa kwa malengo ya kuzalisha na hasa uwe tayari umeanzisha kitu na kinalipa kiasi kwamba ukiongezea mtaji zaid kinakuwa better zaidi bila hivyo top up huikwepi Sioni ubaya wa top ups kwa...
  11. Herbert Nkuluzi

    Mikopo kwa wanaotaka kununua magari ndani ya nchi na nje ya nchi

    Nahitaji tractor kaka mnidhamini Mimi ni mfanyabiashara na ni mtumishi pia
Back
Top Bottom