Recent content by Herbert Nkuluzi

  1. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Waajiriwa wengi wanauonea wivu uhuru wa waliojiajiri, lakini hawajui gharama ya huo uhuru

    Ni kweli kujiajiri ni mshikemshike haswa kama una roho nyepesi utakimbia Kwanza huenjoy pesa yako maana ushindani ni mkali ukilala umeliwa
  2. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia kundi kubwa la CCM hivi vyote wamekosa Akili na elimu

    Hao ni janga la taifa
  3. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Hili linahitaji kuungwa mkono na kuipongeza Serikali

    Kwa hili naipongeza serikali
  4. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Iran: Kwa Ukubwa wa Nchi Yetu Tunaweza Kuhimili shambulio La Nyuklia na Kusimama Tena, Israel Ndogo Itasambaratika. Waamue Wasuke au Wanyoe

    Waislamu mnachekesha ,kwamba wewe wa Kibondo huko umeona wana nyuklia ila Israel mwenye majasusi kibao Iran hajui Hivi ninyi ni wazima kweli?
  5. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wangu niliyeishi naye kwa miaka mitatu amenisaliti

    Fukuza leta mwingine tena bikra
  6. Herbert Nkuluzi

    JamiiForums Tanzania Ngono: Kwanini tumei-demonize?

    Wastani wa tendo moja la ngono kwa hapa Tz linagharimu si chini ya Tsh 100000(hatua ya awali hadi baada ya tendo) Wewe unahisi ni kawaida tu kupoteza pesa hiyo kwa tendo la dk 30? Mimi naamini ngono inachangia kushuka kiuchumi kwa mtu husika
Back
Top Bottom