Recent content by Herbert Nkuluzi

  1. Herbert Nkuluzi

    Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

    Huu ndiyo ukweli mchungu kwamba kama ushatembea na wanawake 10 huenda mmoja alikuwa victim ila wewe umetoboa. Kwa uhalisia mtu akigundulika ana HIV ni vema ahakikishe anawalinda wengine wasipate maambukizi kwa kutumia dawa vema au kwa kuhakikisha anasisitiza safe sex all the time.Taifa ni letu...
  2. Herbert Nkuluzi

    Ni kweli mtu akitumia dawa ya UKIMWI hawezi kumuambukiza mwenzake hata bila kutumia kinga?

    Hiki ndicho ninachokiamini pia na nadhani mtu akipimwa akakutwa ana HIV anapaswa awe mwungwana kwa kuhakikisha anawalinda wengine wote dhidi ya maambukizi maana
  3. Herbert Nkuluzi

    Je huu ni utapeli kwa hisani ya Serikali?

    Sijawahi kukopa mtaani ila kwa uhalisia riba zosizo na mrengo wa kumsaidia mtu ni chanzo cha taifa kupoteza kodi nyingi kwa kuwa anayekopeshwa akifeli kulipa akapoteza mali zake vilevile maana yake biashara imekufa na kodi na ushuri navyo vimepotea kwa serikali. Umaskini hautaondoshwa haraka...
  4. Herbert Nkuluzi

    Now mil 50 UTT, napambana ifike mil 65 mwaka huu

    Yaani milion 7 faida ya 70 elfu kwa mwezi kweli maisha ni kuchagua hii ni pesa ambayo naingiza kwa siku na mtaji haufiki hata huo wa mil 7
  5. Herbert Nkuluzi

    Piga kura tumalize utata, Chama na Pacome yupi bora zaidi

    Kucheza sehemu ni maamuzi ya mtu Rejea Messi
  6. Herbert Nkuluzi

    Piga kura tumalize utata, Chama na Pacome yupi bora zaidi

    Yaani nitakuwa chizi kupiga kura hapa Yaani ni sawa na Messi kumlinganisha na Mbape ni utoto uliotukuka. CHAMA Kathibitisha ubora hadi CAF wanamtambua kama among top scorers of all time.Anayinganishwa sharti athibitishe ubora zaidi ya hapo au kufikia hapo
  7. Herbert Nkuluzi

    Piga kura tumalize utata, Chama na Pacome yupi bora zaidi

    😀😀😀😀 Pacome anahitajika na timu ipi kubwa?au Yanga ni kubwa sio?
  8. Herbert Nkuluzi

    Tetesi: Mayele kwenda Simba, Chama kwenda Yanga

    Kaka alidrop kiwango mwenyewe usizingizie timu Na Pia Kama kafika na Ronaldo wote wakiwa mastar wakubwa tu kwa nini Ronaldo alipaa zaidi Kaka akadrop?
  9. Herbert Nkuluzi

    Hii kauli "Simba dhaifu" inatugharimu sana Yanga

    Mada za hivi ndizo zinapaswa kuwepo jukwaani Ukweli ni kwamba Simba ni timu yenye uwezo mkubwa tu dharau za baadhi ya wanayanga ni upungufu wa hekima au ushahidi kuwa watz wengi vichaa
  10. Herbert Nkuluzi

    Wakenya wanataka fainali ya AFCON 2027 ifanyike kwao

    Wao wanajenga sisi tunawaza kuongeza uwanja maana tayari tunao
  11. Herbert Nkuluzi

    Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

    Taja timu iliyomhitaji Messi mwaka 2009-2014 na kitita walichoweka mezani usilete blahblah
  12. Herbert Nkuluzi

    Mzizi wa fitna: Pacome vs Chama, nani zaidi?

    Messi akiwa Barca ile ya akina Iniesta ,timu gani ilituma ofa kumsajili?
Back
Top Bottom