hakuna siku kocha wa yanga kaondok kwa bakora kwa kufungwa na simba mara nyingi zaidi simba inafunga yanga ukilinganisha na makocha na wachezaji wanaofukuzwa na simba wote lao 1 tu si yanga si simba.........
haki haiombwi serikali inalazimika kulipa madaktari na si vinginevyo wkt umefika kwa wtz kusimama imara na kuipinga serikali kwny mambo yanaloligusa taifa
huwezi jua kama huwajui watu hawa labda ungeoneshwa unaowajua ungeona muhimu wao wana mapinduzi halisi si chama cha mapinduzi wa uongo saluute che r.i.p
huyu jamaa anaamulia au anachabo tigo kiaina kwa nn asiwavute sina imani lazima kaenda winga ya kushoto anataka piga krosi kisha mtu anatia kichwa tu na bao watu katiiiiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.