Recent content by Herbalist Mtaturu

  1. Herbalist Mtaturu

    Fahamu kuhusu Matogho

    🌳 FAHAMU KUHUSU MATOGHO 🌳 Hapa chini ni maelezo ya namna ya kutumia Matogho ( Goron Tula ) kwa njia mbili: kiafya (tiba asilia) na kiroho (utambuzi na ulinzi). 🌿 Matumizi ya Goron Tula kwa Tiba Asili🌿 ⚡1. Kwa Wanawake (uzazi na hedhi): Lengo: Kusafisha kizazi, kuongeza ute wa uzazi (cervical...
  2. Herbalist Mtaturu

    Fahamu kuhusu Matogho

    🌳 FAHAMU KUHUSU MATOGHO 🌳 👉Matogho ni matunda yenye thamani kubwa sanaa kiafya na kiutamaduni. 👉Kwa kiingereza huitwa Goron Tula au snot apple, Kisayansi huitwa- Azanza garckeana . Pia hujulikana kama- African chewing gum fruit Ucheku / Tula kola (Nigeria) Faida Zake Kuu: ⚡1. Afya ya Uzazi...
  3. Herbalist Mtaturu

    Faida za Komamanga

    Hakuna taabu
  4. Herbalist Mtaturu

    Tafakari ya leo: Jomo Kenyatta alishawai kusema

    Ogopa sanaaa hii maiti maana ikiamka inakua ni mizuka. Sasa usichukulie poa kitu inaitwa mzuka . Mpaka uje vilingeni ndio utapata tiba yake
  5. Herbalist Mtaturu

    Watoto ni gharama si baraka. Kabla hujafikiria kuzaa watoto tambua hili mapema

    Mwendo ni kufyatua tuu hayo mengine tutajua mbeleni
  6. Herbalist Mtaturu

    Binti ameugua ugonjwa ambao umeshindwa kutambulika

    Wasiliana nami moja kwa moja kuona namna gani ya kuweza kumsaidia
  7. Herbalist Mtaturu

    Faida za Komamanga

    🌱 FAHAMU KUHUSU KOMAMANGA 🌱 Tunda la komamanga (kwa Kiingereza pomegranate, jina la kisayansi huitwa: Punica granatum) ni tunda lenye nguvu kubwa ya kiafya na hutumika sana katika tiba za asili. 🌿 Maradhi Ambayo Komamanga Hutibu 🌿 👉1. Tezi dume (Prostate health): - Juisi ya komamanga...
  8. Herbalist Mtaturu

    Nahisi mzazi wangu anafanya ushirikina

    .sio mtu wa dini .hasali .ni mtu wa kuchoma dawa. Haya endeleeni kuamini huo ujinga unaoitwa dini
  9. Herbalist Mtaturu

    Kuhusu kujisikia vibaya, mwili kukosa nguvu

    Huko koote umeshapima tayari. Sasa karibu kilingeni na sisi tukupime.
Back
Top Bottom