Recent content by Hepatis B

  1. Hepatis B

    Ukimya wa wakuu wa majeshi juu ya mauaji na utekaji wa watanzania inatupa picha kuwa hatuna viongozi sahihi kwenye jeshi

    Hapa ni kuishi kwa ukimya tu usiingie kwenye 18 za hawa jamaa. Kama una hela ishi kimaskini watu wasikujue. Meli inaendeshwa na chizi jifanye mjuaji.
  2. Hepatis B

    Masheikh Hili litapita Hila Heshima Yenu Haitarudi

    Masheikh kiukweli mnaona mnaitetea Serikali na mnaamini hili likipita serikali itawalipa shukrani. Ukweli ni kwamba mmewaweka waislam mahali pagumu sana. Imani yetu kwenu inapotea kila kukicha. Naamini sasa mbingu ni kujipigania mwenyewe hamna sheikh anaweza kukuongoza kuiona mbingu wengi wapo...
  3. Hepatis B

    Hivi kukifanyika mgomo wa kutokwenda kazini, kutoshiriki jambo lolote la kiserikali badala ya mbinu ya maandamano haitakuwa rahisi kweli kufikia lengo

    NI kuhakikisha kitaa hamna jezi ya mboga mboga na kuwashughulikia wote wanafiki wote kimya kimya iyo ndo hatua ya kwanza.
  4. Hepatis B

    PostGE2025 Masheikh mko wapi? Kuna tamko la nchi za Ulaya, inatakiwa mkawajibu

    Hivi Tanzania shekhe mwenye elimu kubwa kaishia pande zipi?
  5. Hepatis B

    PostGE2025 Shida hapa Tanzania ni mkakati tu

    Habari wadau. Kiukweli Tanzania tumeshapiga hatua kubwa sana kimaendeleo shida ipo kwenye strategy tu. Hapa ndo tunapofeli. Mipango mikakati hamna kabisa wapi tuanzie wapi tuishie tunafeli kabisa. Uwezi kushinda umaskini kwa maneno. Lazima kujituma na kuwa na mipango. Watu wananguvu sana ila...
  6. Hepatis B

    PostGE2025 Kijana mwenzangu nakushauri lakini uamuzi utakuwa juu yako na ikiwa ni lawama basi utazielekeza kwako mwenyewe

    HIvi unazani babu zetu wangekuwa wanafiki kama wewe wakoloni wangekuwepo hadi leo.
  7. Hepatis B

    Je, makaa ya mawe yanafaa kupikia Katika majiko ya majumbani kama mkaa wa kawaida unavyotumika?

    Umejibu vema mkuu. Wananchi tumieni majiko ya maranda ni bure
  8. Hepatis B

    Hizo Elfu Saba Saba Tupeni Watanzania Wote

    Vijana wanaopokea buku saba saba naona wanaongezeka kila kukicha kwenye kila mitandao. Kodi ya mtu anaesafisha vidonda hosptalini leo hii mnawapa wapuuzi kisa kulinda madhaifu yenu.
  9. Hepatis B

    Hayati Nyerere avuliwe hadhi ya Baba wa Taifa

    Sababu kubwa ilikuwa ni hofu ya vita. Wakati nyerere anachukua nchi hakuwa na jeshi wala nini pia kulikuwa na vugu vugu la vita ya tatu ya dunia. (Cold war kati ya ussr na nato) hivyo aliamin angeweza kupigwa na waarabu maana walifanya zanzibar kama sehemu ya uarabuni. Hivyo alihofia sana...
  10. Hepatis B

    Toeni Hela zenu kwenye Mabenki na mpesa hifadhini hela zenu wenyewe, anguko la uchumi limeingia

    Hizo benki kuna watu wanapesa nyingi sana wameweka humo. Siku wakizitoa utaelewa tu
  11. Hepatis B

    Toeni Hela zenu kwenye Mabenki na mpesa hifadhini hela zenu wenyewe, anguko la uchumi limeingia

    Bajet kubwa ya nchi ilitegemea nje. Hivyo serikali italazimika kuchapisha fedha nyingi iweze kujiendesha. Hela itakuwa kama ya zimbabwe
  12. Hepatis B

    PostGE2025 CNN Evidence: Tanzania Police Killed Protestors

    Watanzania ni wanafiki. Mbegu ya unafiki ccm ndo kitu ambacho imeweza fanya toka uhuru hadi sasa
  13. Hepatis B

    Prediction: Simba vs APR; Yanga vs Green Arrow; Yanga vs Simba

    Hata kama sijui mpira simba anafungwa mapema tu.
Back
Top Bottom