Masheikh kiukweli mnaona mnaitetea Serikali na mnaamini hili likipita serikali itawalipa shukrani. Ukweli ni kwamba mmewaweka waislam mahali pagumu sana.
Imani yetu kwenu inapotea kila kukicha. Naamini sasa mbingu ni kujipigania mwenyewe hamna sheikh anaweza kukuongoza kuiona mbingu wengi wapo...
Habari wadau.
Kiukweli Tanzania tumeshapiga hatua kubwa sana kimaendeleo shida ipo kwenye strategy tu. Hapa ndo tunapofeli. Mipango mikakati hamna kabisa wapi tuanzie wapi tuishie tunafeli kabisa. Uwezi kushinda umaskini kwa maneno. Lazima kujituma na kuwa na mipango. Watu wananguvu sana ila...
Vijana wanaopokea buku saba saba naona wanaongezeka kila kukicha kwenye kila mitandao. Kodi ya mtu anaesafisha vidonda hosptalini leo hii mnawapa wapuuzi kisa kulinda madhaifu yenu.
Sababu kubwa ilikuwa ni hofu ya vita. Wakati nyerere anachukua nchi hakuwa na jeshi wala nini pia kulikuwa na vugu vugu la vita ya tatu ya dunia. (Cold war kati ya ussr na nato) hivyo aliamin angeweza kupigwa na waarabu maana walifanya zanzibar kama sehemu ya uarabuni. Hivyo alihofia sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.