Recent content by Heparin

  1. Heparin

    Kijana aliyevamia altare na panga wakati wa Misa akitaka kumuua Paroko wa Parokia ya Kagunguli, Bunda auliwa na waumini huku yeye akijeruhi wawili

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katika Parokia ya Kagunguli Bunda Mkoani Mwanza, kijana mmoja alivamia Kanisani kwa nia ya kumuua au kumjeruhi Paroko wakati wa adhimisho la misa takatifu ya Pasaka, leo Aprili 5, 2026. Wakati akitaka kupandisha ngazi za Patakatifuni alizuiliwa na kutolewa nje...
  2. Heparin

    Polisi: Hakuna Mchimbaji aliyefariki kwenye Machimbo ya Msasa, Geita, baada ya maduara kuanguka

    Baada ya kusambaa kwa tetesi zinazodai zaidi ya watu 200 wamefariki kwenye machimbo ya Msasa Geita, jeshi la Polisi limekanusha taarifa hizo kwa kueleza kuwa hakuna mtu yeyote aliyepoteza maisha. Tetesi za tukio hili zipo hapa >>> Wachimbaji zaidi ya 200 wahofiwa kufariki huko Geita Machimbo ya...
  3. Heparin

    Sugu: Aliyemuweka huyu jamaa karibu yangu ni kama alikuwa analengesha nitekwe

    Anaandika Joseph Mbiliyi (Sugu) Aliyemuweka huyu jamaa karibu yangu ajue Mungu anamuona NB: Ni kama alikuwa ananilengesha nitekwe, MATAKO YAKE.
  4. Heparin

    Maoni ya Pascal Mayala kuhusu Mwigulu yawaamsha TCRA, Jambo TV yalimwa barua ya onyo kali, kuwa chini ya uangalizi kwa Miezi 6

    Anaandika Aloyce Nyanda: Pole mkurugunzi wa jambo Tv online ndugu John Marwa kuwa Makini zaidi huu ni mtego wa mwisho Taarifa nilizopata toka vyanzo vyangu leo tarehe 5 ni kwamba kamati ya muudhui ya TCRA imewapa ONYO KALI JAMBO TV, kwa mujibu wa Kanuni ya 21 (2) (3) (a) ya Kanuni za maudhui...
  5. Heparin

    DOKEZO Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetelekeza Abiria Mwanza, hadi sasa hawajui hatma yao

    Inabidi tuanze kufuatilia hizi sheria ili kukomesha huu ujinga.
  6. Heparin

    DOKEZO Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetelekeza Abiria Mwanza, hadi sasa hawajui hatma yao

    Safari yangu ya kurejea Dar es salaam baada ya kukamilisha kazi yangu Bukoba imeanza asubuhi ya Februari 21, 2026 kwa ndege TC 101, mali ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL). Kasheshe imeanzia uwanja wa Ndege wa Bukoba, hauna umeme. Baada ya kuwekwa foleni kwa masaa 3, baadae ilibidi wahudumu...
  7. Heparin

    Mahakama Kuu: Kifungu kinachoruhusu kuficha mashahidi wa kesi ni batili na kinyume na Katiba

    Leo Februari 16, 2026, Jopo la Majaji watatu Mheshimiwa Jaji Fahamu, J. Mheshimiwa Jaji Chuma, na Mheshimiwa Jaji Kamana, limeamua kuwa kifungu cha 194 cha sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai (Criminal Procedure Act (CPA) ni kinyume cha Katiba kwa kuwa kinampa Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai...
  8. Heparin

    SI KWELI Folic Acid si salama kwa Wajawazito, wanashauriwa waache kuitumia

    Nimekutana na hii video ya mtu mmoja ambaye ni Fitness trainer, anashauri wanawake wajawazito wasitumie Folic Acid maana itawaletea matatizo kwa baadae. Nimeogopa sana aisee. Ujumbe huu ni sahihi kweli?
  9. Heparin

    SI KWELI Victor Mhagama akamatwa na TAKUKURU akiwa na Tsh. Milioni 500

Back
Top Bottom