Recent content by Heparin

  1. Heparin

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Nimefikiri na kutafakari kwa muda mrefu baada ya matukio ya ukiukwaji wa haki, utu na dhuluma dhidi ya uhai wa binadamu yaliyotokea tarehe 29 Oktoba 2025. Siwezi kuendelea kuishi katika huzuni na ukimya tena. Kwa dhamira yangu binafsi, leo nimejiondoa rasmi kutoka CCM na kurejea CHADEMA kwa...
  2. Heparin

    JamiiForums Tanzania TANZIA Anna Maulidah Komu Afariki Dunia

    Mama Maulidah Anna Komu amefariki dunia. Alijiunga na Chadema mwaka 1993 akitokea CCM. Chadema ilimpa fursa mbalimbali za uongozi ikiwemo Ubunge wa viti maalumu, Waziri kivuli wa maendeleo ya Jamii, Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya wadhamini, na baada ya kufariki kwa aliyekua Mwenyekiti wa Bodi ya...
  3. Heparin

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa Mwandishi wa Habari Aloyce Nyanda amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kufadhili kikundi cha 'Tanganyika Freedom Fighters'

    Ameandika Ansbert Ngurumo kwenye Mtandao wa X Mwandishi wa habari ALOYCE NYANDA anashikiliwa katika Kituo cha Polisi Bugarama (Kata ya Bugarama kijijini Ilogi) Geita. Walimkata jana huko Kakola. TUHUMA: Kufadhili kikundi kiitwacho "Tanganyika Freedom Fighters (TFF)." Muda wowote kuanzia sasa...
  4. Heparin

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya rufani yairuhusu CHADEMA kuendelea na shughuli za kisiasa nchini

    Mahakama ya rufani kanda ya Dodoma imetengua maamuzi ya Mahakama kuu yaliyoizua CHADEMA kufanya shughuli za kisiasa nchini katika kesi iliyofunguliwa na Said Issa na wenzake dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa chama na Katibu Mkuu, maarufu kama kesi ya Mgawanyo wa mali za chama. Sasa CHADEMA ni ruksa...
  5. Heparin

    JamiiForums Tanzania Papa Leo: Siogopi utawala wa Trump. Nazungumzia Injili, mimi si mwanasiasa

    Papa Leo XIV amezungumza haya leo, Aprili 13, 2026 kwenye denge, wakati wa Safari yake ya kuelekea Algeria, ikiwa ya kwanza Barani Afrika. Hii ni kwa mujibu wa Tovuti ya Catholic News Agency. Kauli hii inakuja muda mchache baada ya Donald Trump kudai Papa Leo XIV ni dhaifu, hapendezwi na...
  6. Heparin

    JamiiForums Tanzania Kijana aliyevamia altare na panga wakati wa Misa akitaka kumuua Paroko wa Parokia ya Kagunguli, Bunda auliwa na waumini huku yeye akijeruhi wawili

    Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katika Parokia ya Kagunguli Bunda Mkoani Mwanza, kijana mmoja alivamia Kanisani kwa nia ya kumuua au kumjeruhi Paroko wakati wa adhimisho la misa takatifu ya Pasaka, leo Aprili 5, 2026. Wakati akitaka kupandisha ngazi za Patakatifuni alizuiliwa na kutolewa nje...
  7. Heparin

    JamiiForums Tanzania Polisi: Hakuna Mchimbaji aliyefariki kwenye Machimbo ya Msasa, Geita, baada ya maduara kuanguka

    Baada ya kusambaa kwa tetesi zinazodai zaidi ya watu 200 wamefariki kwenye machimbo ya Msasa Geita, jeshi la Polisi limekanusha taarifa hizo kwa kueleza kuwa hakuna mtu yeyote aliyepoteza maisha. Tetesi za tukio hili zipo hapa >>> Wachimbaji zaidi ya 200 wahofiwa kufariki huko Geita Machimbo ya...
  8. Heparin

    JamiiForums Tanzania Sugu: Aliyemuweka huyu jamaa karibu yangu ni kama alikuwa analengesha nitekwe

    Anaandika Joseph Mbiliyi (Sugu) Aliyemuweka huyu jamaa karibu yangu ajue Mungu anamuona NB: Ni kama alikuwa ananilengesha nitekwe, MATAKO YAKE.
  9. Heparin

    JamiiForums Tanzania Maoni ya Pascal Mayala kuhusu Mwigulu yawaamsha TCRA, Jambo TV yalimwa barua ya onyo kali, kuwa chini ya uangalizi kwa Miezi 6

    Anaandika Aloyce Nyanda: Pole mkurugunzi wa jambo Tv online ndugu John Marwa kuwa Makini zaidi huu ni mtego wa mwisho Taarifa nilizopata toka vyanzo vyangu leo tarehe 5 ni kwamba kamati ya muudhui ya TCRA imewapa ONYO KALI JAMBO TV, kwa mujibu wa Kanuni ya 21 (2) (3) (a) ya Kanuni za maudhui...
  10. Heparin

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetelekeza Abiria Mwanza, hadi sasa hawajui hatma yao

    Inabidi tuanze kufuatilia hizi sheria ili kukomesha huu ujinga.
  11. Heparin

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetelekeza Abiria Mwanza, hadi sasa hawajui hatma yao

    Pengine wewe itaenda sawa mkuu, ila sali sana
Back
Top Bottom