Nimeuliza maana kuna hospital nilienda c vema kuitaja doctor nlioambiwa kuwa ni specialist hakua vizuri katika fani hiyo ndio maana nilikua nataka kufahamu kupitia watu waliowahi kutibiwa na specialist yeyote mradi awe mzuri katika fani hiyo
Na kama umeshazaa watoto wawili na tumbo limelegea kuna uwezekano wa kurudi katika hali ya kawaida kama ulivokua hujazaa?? Na nn dawa ya kutoa michirizi ya tumboni? Mana naskiaga na yenyewe inalegeza tumbo
Ivi inawezekana mwanamke baada ya kujifungua tumbo lake likawa gumu kama zaman?? Na ni nini chakufanya ili yale manyama nyama ya tumboni yaishe yani tumbo liache kulegea na kucheza cheza?
Kwa hili la kuongea kiswahili kwa presida namuunga mkono kabisa japokuwa mambo mengi anafanya sikubaliani nae ila hili yupo sawa kingereza cha nini wakati tunakiswahili
Ubuyu ndio nini maana mi najua ubuyu ni mwanamke mwenye makalio makubwa sasa nikisoma comments za ubuyu na shindwa kuelewa[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]
TAA kazi za muda izo walio wengi mnapata kwa kupachikwa na ndugu zenu hapo bila vigezo, watu wanapata kazi kwa kujuana tu, angalia wengi wenye ajira za muda mfupi lazima ana undugu na mtu flani mkubwa japo wapo wachache wenye kupewa kulingana na uwezo ila wengi ni kujuana pole sana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.