Recent content by henry mathayo

  1. henry mathayo

    Nauli ya kwenda nigeria

    Jaman napenda uliza nauli ya kutoka dar kwenda lagos nigeria ni sh.ngap? Kwenda na kurudi.
  2. henry mathayo

    Ni kweli kwamba hata diploma wanaomba mkopo kupitia HESLB?

    Wakuu ni kweli kwamba wanao soma diploma wanapewa mikopo awamu hii? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. henry mathayo

    Wanaosoma diploma kupewa mikopo kuwezesha uchumi wa viwanda

    Jamani ni kweli bodi inatoa mikopo kwa diploma? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. henry mathayo

    Natafuta kazi mwanza.

    Mimi nipo tayar hata kufanya usafi nipo mwanza na nmemalza form six this year Sent using Jamii Forums mobile app
  5. henry mathayo

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Eti jamani iv ni kwel had mtu mwenye DE Anaenda chuo kikuu Sent using Jamii Forums mobile app
  6. henry mathayo

    Nimepata division 3 ya points 14(Form 6), natafuta mdhamini

    We unasema nimesoma kwa shida sana Sent using Jamii Forums mobile app
  7. henry mathayo

    Nimepata division 3 ya points 14(Form 6), natafuta mdhamini

    Nimesoma C B G nakupata D E E Sent using Jamii Forums mobile app
  8. henry mathayo

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Jaman serious now hata mashulen wanadai hawana Pesa za kulipa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. henry mathayo

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Support Sent using Jamii Forums mobile app
  10. henry mathayo

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Sina mtu wakuniwezesha kielimu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. henry mathayo

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Wapendwa Mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu na kupata division three ya 14 .naishi katika mazngira magumu naomba jamani nipate msaada wa support walau wa kuendelea na diploma. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. henry mathayo

    Nimepata division 3 ya points 14(Form 6), natafuta mdhamini

    Jamani wapendwa, mimi ni mwanafunzi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu na kupata division three ya 14. Nahitaji msaada wa kuendelea na elimu sababu naishi kwenye maisha magumu. Walau nipate mtu wa kuni-support kusoma diploma. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. henry mathayo

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Chuo gan Sent using Jamii Forums mobile app
  14. henry mathayo

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu na kupata D E E ..katika C B G ...naweza soma education degree? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom