Makada wa ccm walioleweshwa mvinyo wa propaganda kivukoni ccm college, wanaosema maneno ya wenzao, wanaopindua ukweli chini juu. Unaposema ukawa mafisadi, nchi ina rushwa, na ccm ndiyo iliyopo madarakani, ina maana wameshindwa na dhaifu. Mna polisi, jeshi, mahakama, na bado mnalalamika ukawa ni...