kwakuwa diploma holder wote ni watoto wa Bahresa, acha hizo bwana kila mtu na bahati yake, wewe wa form six unaweza usipate akapata diploma holder, usikatishe watu tamaa
Habari wana MMU.
Kuna jambo linaumiza sana watu, utakuta mtu ili kuondoa upweke ametafuta boyfriend/girlfriend ambaye siye chaguo lake, watafurahi vizuri na nini na nini.
Baada ya muda mtu anamwacha girlfriend au boyfriend kisa amepata chaguo lake, anamwacha mwenzie kwenye maumivu au hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.