Recent content by helena mgomu

  1. helena mgomu

    Naomba msaada wenu mdogo wangu anasumbuliwa ovarian cyst

    Habari Wana jf, Naomba msaada wenu mdogo wangu anasumbuliwa ovarian cyst, Sasa mwezi wa saba alipimwa utrasound ukawa na cm 3.5 hakupewa dawa yoyoye, walisema utaisha wenyewe. Sasa juzi maumivu yakawa upande wa kulia akatumia azuma na fragile Leo kaenda kupima hosp wamekuta ana uvimbe upande...
  2. helena mgomu

    Msaada: WhatsApp yangu imegoma kufanya kazi

    naomba nisaidie nafanyaje kujitoa
  3. helena mgomu

    Msaada: WhatsApp yangu imegoma kufanya kazi

    mbn maelezo yanaeleweka kaka nimesema whatapp yangu haitak kufunguka kila nikijaribu inaleta meseji kua account iko registed na new device
  4. helena mgomu

    Msaada: WhatsApp yangu imegoma kufanya kazi

    Hello, Naomba msaada WhatsApp yngu imegoma kufanya kazi, kila nikijaribu kuirudisha inadai account is being on a registered new device! Nisaidien niirudishe vipi.
  5. helena mgomu

    Msaada: Huyu mgonjwa ana tatizo gani?

    Habari za mchana, Naomba usaidizi kwa wataalam wa macho haya maelezo ya Dr yanaelezea mgonjwa anatatizo Gani? Maana kapewa miwan lkn akitembea anaona km mabonde mabonde afu vitu km vimebinuka. Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  6. helena mgomu

    Wizi wa betri ya Gari

    Asante Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  7. helena mgomu

    Wizi wa betri ya Gari

    Hyo alarm bei gani Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  8. helena mgomu

    Wizi wa betri ya Gari

    Yaaah ni kwel, Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  9. helena mgomu

    Wizi wa betri ya Gari

    Asante ,ila naomba kujua kumbe inawezekana kbs mtu kufanya hvyo hvyo hata km gari imefungwa?maana nimeingia wasiwas isije kua funguo zinaingiliana siku wakaja wakaondoka nayo! Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  10. helena mgomu

    Wizi wa betri ya Gari

    Habari Naomba mnisaidie kinielewesha,usiku wa Leo nimeibiwa betri ya Gari, na nilikua nimefunga milango nashidwa kuelewa Kuna njia nyingine ya kufungua boneti Kwa nje jmn maana sijawah kujua hili Na ndani ya gari kulikuwa na hela na nimezikuta ,hii inanifanya nijue ndani ya gari hawakuingia!
  11. helena mgomu

    Msaada: Nina maumivu makali chini ya bega, nimepiga X-ray hakijaonekana kitu

    Asante nitafanya hvyo Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  12. helena mgomu

    Msaada: Nina maumivu makali chini ya bega, nimepiga X-ray hakijaonekana kitu

    Km hutojal nisaidie aina ya vyakula vya kutumia,na km Kuna dawa umetumia vimetulia Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
  13. helena mgomu

    Msaada: Nina maumivu makali chini ya bega, nimepiga X-ray hakijaonekana kitu

    Yan Nikila vitu vyenye ukali panauma sana au nikishinda njaa naumiaa kweli, Kumbe unaweza kua na VIDONDA VYA TUMBO Maumivu ukapata SEHEMU nyingine naomba kujuzwa hili.
Back
Top Bottom