Nikweli kabisa mkuu, nilidhani nimeliona hili mwenyewe kumbe nawe umeiona. Huyu dada kapwaya sana.. Na hafai kuendesha hiki kipindi maana ANAJIONA,MJUAJI, MBISHI na analazimisha wachangiaji wafikiri anavyofikiri yeye. # ITVFUKUZAUFOOSARO
ukweli mtupu KING COBRA or whoever you are, you are a great thinker indeed! naungana nawewe tusiwe wepesi wa kuhukumu wengine plus tuamini mtu anaweza kubadilika na kuwa msaada. like the way Lowassa amefanya, believe it or not the guy has taken a huge risk, is a life and death situation to him...
Mkuu King Kong III, siyo hivyo tu Mwigulu alidai Arusha mkichagua CHADEMA mtakufa, na watu wamekufa yeye wala hata haguswi kwa lolote, credibility ya police ni zero kwa hili.
Namashaka, lakini ndo siasa.. The one who plays smart ndo anaeshinda. Mikakati ya ushindi wa 2015 si mchezo. CCM mnadanganywa sana as i can see this thing quite the opposite.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.