Katika ufungaji wa gympsum board, hakikisha spacing kati ya screw moja na screw nyingine haizidi sentimita 20 ambapo kwa hesabu hiyo kila board moja inatakiwa ifungwe screws 55
Ramani, Makadirio au Ushauri tuwasiliane.
Wale wa mikoani pia ramani zitawafikia bila shida yoyote, tuwasiliane...
Kama kiwanja kiko flat, idadi itategemea na urefu wa msingi unaoutaka mfano mwingine anaweza akajenga kozi 7 (kozi 4 chini ya ardhi, kozi 3 juu ya ardhi) lakini mwingine anaweza akaweka zaidi ya kazi 7 ili msingi uwe juu zaidi
Kama kiwanja kina slope, level ya juu ya kiwanja ndio itakayokupa...
Ujirani mwema huwa unaanzia mbali
Kama unajenga nyumba yako, na unaona pia kuna mwenzako pembeni nae anajenga nyumba yake, anzeni kuazimana vitu kama ngazi, sijui mpira wa maji n.k
Inasaidia sana kuokoa gharama zisizo za lazima lakini pia inatengeneza ujirani mzuri baina yenu kabla hata...
Hapo hapo kwenye usalama ndio ilikuwa dhamira yangu, na hizo taa za sensor zipo za aina tofauti. Kuna zile ambazo zinakuwa zinawaka mwanga mdogo ila ikitokea movement yoyote, mwanga unaongezeka na kuwa mkali zaidi kwa hivyo sio kwamba nyumba itakuwa kiza asilimia 100
Siku hizi watu wengi taa za nje wanaweka taa zenye motion sensor, kwa maana taa zinakuwa zinawaka tu pale kunapotokea movement yoyote.
Kimahesabu inaweza ikawa sawa au ikapunguza matumizi ya umeme ukilinganisha na mtu aliyeweka taa ya watt 20 inayowaka kuanzia jioni mpaka asubuhi. Hizi taa...
Taa za nje hata kama zinatumia switch moja, usiziunge kwa kufatana (series) kwa sababu ikiungua taa moja basi taa zote pia hazitofanya kazi hata kama zenyewe zitakuwa bado ni nzima.
Hata taa za kwenye dari pia ziunge in parallel, ili ikileta shida taa moja, zingine ziendelee kufanya kazi kama...
Central stablizer ni kifaa kinachofungwa katika mfumo wa umeme ili kuulinda huo mfumo dhidi ya kupanda ama kushuka kwa voltage.
Vifaa vyingi vya majumbani vinafanya kazi kwa voltage ya 220V mpaka 240V, sasa mfano kwenye setting, high voltage ukiweka iwe labda 240V, stablizer yako itakuwa...
Hakikisha main switch yako inawekwa katika umbali ambao unaweza kuifikia ukiwa umesimama bila kutumia nyenzo yoyote kama vile stuli, meza n.k
Lakini pia isiwe imefungiwa katika chumba kwa maana itakapotokea shida ya kuhitaji kuizima isimlazimu mtu kuanza kutafuta funguo ya mlango, ndio maana...
Ndio inawezekana ndg ila design yako inabidi isiwe na viukuta vifupi, huwa vinasumbua katika kupigilia box za mkanda. Mara nyingi huwa vinakatika
Juu ya lental beam, kawaida huwa ni kozi 3 ila kama paa lako lina slope ya kuzidi angle 40 na unataka overhang ya bati iwe kubwa basi ukiweka kozi 4...
Uwazi wa dirisha la choo/bafu unatakiwa uanze baada ya kozi ya saba au juu ya hapo kwa maana kama umejenga kozi 10 kutoka mkanda wa chini hadi mkanda wa juu basi dirisha litakuwa likae katika kozi ya 8, 9 na 10.
Kama utahitaji kuweka dirisha refu zaidi, itabidi uongeze idadi ya kozi kutoka...
Hapo inategemea na ujazo wa tank lenyewe lakini pia na ardhi yako jinsi ilivyo.
Yote kwa yote hata kama utalaza tofali, ni muhimu pia ukaweka na nguzo kuongeza uimara maana tofali za siku hizi sio za kuziamini sana (zinatengenezwa kibiashara zaidi tofauti na tofali za miaka ya nyuma)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.