Uķipita site nyingi, utakutana na hili tatizo la mkanda wa msingi kuwa na level moja nyumba nzima.
Mkanda wa msingi unaopita sehemu ya kibaraza unatakiwa uwe chini kwa kozi moja mfano kama msingi wako umejenga kozi 7, basi sehemu ya kibaraza jenga kozi 6 tu.
Ramani, Makadirio au Ushauri...
Kabla ya kupiga ripu kuta zako, hakikisha kwanza kuta zako kama zimenyooka au lah. Usije ukaweka tu plaster ya unene mmoja kutoka juu mpaka chini wakati kuta zako hazijanyooka, ukifanya hivyo maana yake na plaster nayo itakuwa haijanyooka.
Kama kuta hazinyooka, unene wa plaster hauwezi...
Kiongozi hapo tunatumiaga plywood na mbao tu, hakuna hicho kifaa (na hata ukipata unaweza ukakuta vipimo haviendani)
Chukua plywood, kata vipande vinavyolingana na unene wa tofali ulizotumia uviloweke kwenye maji
Laza ubao wa 1x6 au 1x5 usawa wa nguzo zinapoishia, ambapo chini yake utapigilia...
Ulinzi wa nyumba kupitia madirisha unaimarishwa na pattern ya grill zako. Dirisha za aluminium (vioo) zinazuia tu baridi na vumbi, kwa sababu kama mtu amedhamiria kabisa kuiba anaweza akapasua kioo kwa nyundo au jiwe.
Hakikisha pattern ya grill zako utakayochagua iwe ni complex kidogo, sio mtu...
Slope inayowekwa hapo ni ndogo mno kiasi kwamba huwezi kuiona kwa macho, hata wakati wa kuset inatakiwa ile bubble ya pima maji isitoke yote ktk chumba chake cha kati. Inatakiwa ivuke mstari kidogo sana
Kama mlango mwanzo ulikuwa unafunguka vizuri bila shida, then baadae ndio ukawa unakwama...
Ujenzi wa sakafu ya choo/bafu unatakiwa uzingatie drainage ya maji kwa maana hata ikitokea ukachukua ndoo ya maji ukamwaga mlangoni, maji yote yaende kudumbukia kwenye sink la choo bila kuacha vidimbwi pembeni. Hii itasaidia choo chako kuwa kikavu muda wote, na pia itakupunguzia kazi ya kufagia...
Mwisho wa siku uamuzi utabaki kwa mwenye nyumba, aweke ama asiweke. Hiyo sijasema kwamba inawekwa kwa ajili ya mafundi umeme, nilitolea mfano wa mtu wa kumuuliza hali ya joto iliyopo huko juu
Ujenzi una hatua zake, na hatua zingine zinatakiwa zitangulie kabla ya zingine. Ukivuruga mpangilio ujue lazima utaingia gharama ya ziada huko mbeleni
Mfano unakuta mtu ameanza kupigilia mbao za dari wakati bado hajapachika bomba za umeme ukutani, baadae akitaka kuweka hizo bomba anaanza...
DPM haiwekwi juu ya nondo ndg, nondo zinalazwa juu ya DPM.
Nondo unalaza juu ya DPM, kwa maana hata nondo pia zinatakiwa zilindwe na unyevu ili zisipate kutu ambapo hiyo kazi inafanywa DPM
Kiufupi DPM inatenganisha tabaka la mawe (hardcore) na zege (jamvi)
Nyumba za paa la kuficha kupendeza kwake ni kule kupishana kwa kuta za juu ya mkanda.
Changamoto iliyopo ni mafundi kulazimisha kuta zote zilingane urefu hata kama hakuna ulazima.
Kule juu ya mkanda, kuna kuta zingine kazi yake ni kusimama kama kingo tu za mifereji ya maji kwa hivyo hakuna...
Kama unatamani kujenga nyumba ya paa la kuficha lakini unaogopa mambo ya paa kuvuja maji kipindi cha mvua, basi unaweza ukatumia mfumo wa mifereji ya nje (badala ya mifereji inayojengwa katika kuta za ndani)
Katika mfumo huu, mifereji yote inayobeba maji inabebwa na kuta za nje na mapaa yake...
Kama kiwanja chako ni kidogo na unatamani siku za mbeleni uje uweke uzio (fence), basi ni vyema wakati wa kuset nyumba, nyumba yako ukaiset kwenye kona moja wapo ya kiwanja ili ubaki na eneo upande wa mbele na pembeni tu badala ya kuwa na eneo pande zote nne za nyumba (kwa maana ya kuset nyumba...
Nondo kavu
Ukienda hardware kununua nondo, kuwa makini...fanya field test hapo hapo kabla ya kulipia na kuondoka na mzigo (mchukue fundi abebe na bender yake, uongozane nae hardware).
Nondo kavu ukiikunja huwa inakatika, ni kama mti uliokauka sana.
Nondo inayofaa katika ujenzi haitakiwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.