Recent content by Hechinodemata

  1. Hechinodemata

    Ni mambo gani uliwahi kuona kanisani kwako ya kakuacha mdomo wazi? Mimi kuzikwa mifupa ya mwanzilishi wa kanisa hilo mimbarini

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  2. Hechinodemata

    Balozi wa Marekani Michael Battle amesema amesafiri kwa treni kwenye mabara 4 duniani lakini SGR ya Tanzania ni nzuri zaidi

    [emoji3][emoji3][emoji3] Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  3. Hechinodemata

    Sidumu kwenye mahusiano

    Kaka kwa mujibu wa story zako naona hao wanawake hakuna uliyemkuna vzr, wanawake ukiwapiga kipande kisawasawa hakuna zarau na hata wakiolewa ukimtaka una mpata, pole utakua haupo vzr kweye kupiga vipochi manyoya Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  4. Hechinodemata

    CHADEMA watangaza kuzindua albamu ya nyimbo zao tarehe 9, Januari 2025. Hapo sasa kweli Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti

    Wewe hujui hata maana ya September mosi, halafu unmcritise Mbowe, Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  5. Hechinodemata

    Dollar yaanza kushuka kwa kasi

    Jidanganye, US federal kushusha interest rate unafikir africa kwa uroho wenu mulionaga hilo. Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  6. Hechinodemata

    Dollar yaanza kushuka kwa kasi

    Shilingi ya tanzania itaendelea kuimarika hasa ukizingatia serikali imeondoa matumizi yasiyo ya lazima ya dollars kwa manunuzi ya ndani ya nchi, Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  7. Hechinodemata

    Dollar yaanza kushuka kwa kasi

    Ni kweli Dollar imeanza kushuka na shilingi ya kitanzania imeanza kuimarika hi kwa sababu kuu mbili 1. BOT ilikua na mnada wa hadhara wa dola na ilinunua dola za kutosha ili kukidhi manunuzi mbalimbali 2. Mapema mwezi 11 serikali ilianza kununua dhahabu ambayo itaiwezesha serikali kuuza na...
  8. Hechinodemata

    Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni

    Hao jamaa unaowaita Bayort Mungu akuongoze wasipo kuua watakutia gonjwa sugu likuue kwa pressure Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  9. Hechinodemata

    Ushawahi kwenda sehemu, baada ya kukuona wakakuchukulia poa, baadaye wakajua wewe ni mtu wa aina gani, wakaanza kukuonea aibu?

    Kamba bora ya mkonge toka tanga Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  10. Hechinodemata

    Hizi ndio alama za mtu alieathirika na ukimwi kwa macho tu utamgundua

    Hao ndo madoctor wa tanzania kutoka kijiji cha Idimi, Mbozi mkoa wa mbeya,Nikujulishe tu zipo sababu nyingi za kuwa na uvimbe kwenye shingo, kuna ukosefu wa madini, kuna ukosefu wa vitamin, kuna sababu tele Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  11. Hechinodemata

    Mwanaume unawezaje kufanya hivi?

    Hapo kuna uchawi sio bure Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  12. Hechinodemata

    Jinsi ya kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba

    Usiwe mkosoaji wa makusudi kwa kitu unacho fahamu Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  13. Hechinodemata

    Jinsi ya kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba

    Acha unafki wewe Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
  14. Hechinodemata

    Jinsi ya kufanya makadirio ya gharama za ujenzi wa nyumba

    Watanzania hua ni wachoyo na wanafki sana, Ukitoa elimu ya kitu kizuri wanatafuta makosa tu ilimradi wakosoe na wengi wao wanataaluma hiyo au mafundi wanajisikia vibaya watu wengine kujua, Nani asiye jua kama tofali la kuchoma na block lina vipimo tofauti, Kaka umetoa elimu kubwa sana na kosa...
Back
Top Bottom