Hao wote ni njia moja tuu, usijifanye unaisafisha serikali, Hadi kufikia kiasi kwamba mtu anapigwa risasi hadharani au kuoneshwa bastola hadharani unadhani , Kuna amani nchi hii, au Kuna usalama?
Eti asiyejulikana..!!!![emoji41] Tuseme tuu , anayeogopeka.....maana asingeogopeka ....Yule aliye...
Angalia vizur Majina meng ya kiswahil yanayoanza na Y kwa English yanaanza na J
Mfano;
Yusuphu=Joseph
Yohana=John
Yesu= Jesus
Yakobo=Jacob
Yoel=Joel
E.t.c
Therefore; bila kupoteza mda...
Angalia vizur Majina meng ya kiswahil yanayoanza na Y kwa English yanaanza na J
Mfano;
Yusuphu=Joseph
Yohana=John
Yesu= Jesus
Yakobo=Jacob
Yoel=Joel
E.t.c
Therefore; bila kupoteza mda...
Mimi mchango wangu upo kwenye AFYA , ninapotoa Huduma kwa wagonjwa nao ni mchango.but mchango mkubwa ni system ya serikali inayotawala ndio huwa tunaitegemea lakini kwa CCM ni sifuri
Sasa wanaosomba watu in ccm maana huku songea walienda kuwashawishi wakuu wa secondary wawaruhusu wanafunzi wapelekwe kwenye mkutano wa magufuli, wakawaambia wengine wataveshwa sale na wengine watvaa kilaia , na mabasi yalikuwa yakiwasombelea.AIBUUUUU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.