Recent content by heavyload

  1. heavyload

    Waalimu mnapaswa kuandamana kudai pensheni kamili, kikokotoo kwenye pensheni ni udhalim. Ni aibu kwa serikali kuwekeza kwenye vifo vya watumishi wake!

    Umeandika kwa uchungu sana mwalimu japo hujataka kujijumuisha kwenye hii post yako
  2. heavyload

    Wanaume mpewe nini mtulie?

    Tulia wewe bado mdogo,hujui kitu
  3. heavyload

    Maarifa Hatari: Embu tujifunze na kumjadili huyu Shetani vizuri

    Watu wanarukaruka tu hawataki kujibu swali lako linauliza 'MIMI NI NANI'
  4. heavyload

    Watumishi zaidi ya 200 Wasimamishiwa mshahara kisa ESS (PEPMIS)

    Very painfully ❌ very painful ☑️
  5. heavyload

    Hongera Rais Samia kwa kutimiza miaka mitatu tangu uape kuwa Rais

    Hapo kwenye elimu bado ni shida walimu wanahamishwa hawalipwi,wanakaa kwenye cheo kimoja miaka 12 daraja moja,mwalimu kanyimwa nyongeza ya mshahara zaidi ya miaka tisa Sasa.Halafu mnasema elimu imeboreka?!
  6. heavyload

    Ni kwanini KEMET haipewi heshima yake katika ulimwengu huu?

    Hapa nakubaliana na wewe kabisa ila nani yuko tayari kuanza tafiti za kina kuhusu mtu mweusi,historia yake kwanza kitamaduni ilikuwaje.Wanzungu wao wanaulinda sana utamaduni wao . Na wanajua umuhimu wake kwa vizazi vilivyopita ,vilivyopo na vijavyo
  7. heavyload

    Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

    Maelezo haya yanaongeza ufahamu kuhusu picha ya Yesu though inaweza kuwa sio sahihi sana.
  8. heavyload

    Foundation programme

    Naomba kufahamu OUT wana intake moja tu ya foundation programme kwa mwaka
  9. heavyload

    Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

    Kuna majitu huku yanafurahia kutumbuliwa kwa huyu jamaa lakini ukiwauliza kawakosea nini, hawana cha kujibu.
Back
Top Bottom