Hapo kwenye elimu bado ni shida walimu wanahamishwa hawalipwi,wanakaa kwenye cheo kimoja miaka 12 daraja moja,mwalimu kanyimwa nyongeza ya mshahara zaidi ya miaka tisa Sasa.Halafu mnasema elimu imeboreka?!
Hapa nakubaliana na wewe kabisa ila nani yuko tayari kuanza tafiti za kina kuhusu mtu mweusi,historia yake kwanza kitamaduni ilikuwaje.Wanzungu wao wanaulinda sana utamaduni wao .
Na wanajua umuhimu wake kwa vizazi vilivyopita ,vilivyopo na vijavyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.