Mi namtakia heri na naungana na wale wanaosema akishinda yeye Tanzania imeshinda.
Tanzania ndio nyumbani kwetu,tuipende nchi,tuwapende watanzania wenzetu.Shida zitatatuliwa hakuna nchi isiyo na shida hata kidogo.
Yaani inashangaza!Halafu utadhani hao waliofaulu sio walimu.Mbona nao ni waalimu tofauti ni kwamba hawa wamefaulu hawa wamefeli.Idadi ya walimu ni kubwa kuliko nafasi:sasa serikali ichuje vipi bila usaili?Dua la kuku halimpati mwewe Mkenda hana kosa lolote laana isiyo na sababu haimpati mtu
Huu ni "mtihani" wa usaili wa 'kazi'. Akilijua hilo anaenda na ufahamu wake wa elimu ya ualimu(kazi atayoenda kufanya) na ufahamu wake wa kitaaluma wa somo husika la kufundishia; basi mchezo umeisha anachukua ajira.Tatizo watu hawajatulia kujiuliza hiki kitu kina maana gani na hivyo mimi...
Kwanini asijiandae kwa kusoma pia;material si zipo kichwani tu amesahau akianzq kusoma kumbukumbu ya concepts inarudi.Au alikariri concepts haziku sink?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.