Recent content by Heaven kama heaven

  1. H

    Mke wa Mrisho Gambo aondolewa uafisa elimu

    Lakini haikuwa sahihi mtumishi wa umma kupanda majukwaa ya kisasa;au yupo likizo bila malipo?😅
  2. H

    Prof. Mohammed Janabi, mgombea kutoka Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika

    Mi namtakia heri na naungana na wale wanaosema akishinda yeye Tanzania imeshinda. Tanzania ndio nyumbani kwetu,tuipende nchi,tuwapende watanzania wenzetu.Shida zitatatuliwa hakuna nchi isiyo na shida hata kidogo.
  3. H

    Nafuatilia msiba wa Msuya tangu juzi, mbona David Mathayo David hatajwi kwenye watoto wa marehemu

    Unfortunately fedha haiwezagi kuziba gap kama hilo....Mungu ampe utulivu baba Mathayo.Kwanza pia ni mstaarabu na mcha Mungu mno.Mungu anampenda
  4. H

    DOKEZO Shule ya Precious Pre, Primary and Secondary Goba ifanyiwe uchuguzi, kuna mambo yanaendelea si afya kwa watoto

    Hii shule mbona ilikuwa nzuri sana.Kwamba imebadilika? Nitasikitika kama imebadilika.
  5. H

    DOKEZO Responded Walimu Wasio na Ajira (NETO) wanaongea na waandishi wa habari kuondoa dukuduku lao

    Yaani inashangaza!Halafu utadhani hao waliofaulu sio walimu.Mbona nao ni waalimu tofauti ni kwamba hawa wamefaulu hawa wamefeli.Idadi ya walimu ni kubwa kuliko nafasi:sasa serikali ichuje vipi bila usaili?Dua la kuku halimpati mwewe Mkenda hana kosa lolote laana isiyo na sababu haimpati mtu
  6. H

    Wazee wa miaka ya 90, huu wimbo wa Shambani kutoka - RTD unakukumbusha wapi?

    Ajuaye Bwana Mungu kwa mzima kuwa mfu mgonjwa kuwa salaamaa leo tunawapa polee...
  7. H

    Ukabila ni jambo lisilo semwa sana nchini lakini lipo sana kazini/maofisini

    Hivi unashindwa nini kutaja!!! Wewe mwenyewe hujiamini halafu uko front kuwasema wanaojiamini. Sasa ukimfichia siri huyo mkabila umefanya la maana?
  8. H

    Kuhusu ajira za Walimu,Hili prof Mkenda Kalitazama!

    Huu ni "mtihani" wa usaili wa 'kazi'. Akilijua hilo anaenda na ufahamu wake wa elimu ya ualimu(kazi atayoenda kufanya) na ufahamu wake wa kitaaluma wa somo husika la kufundishia; basi mchezo umeisha anachukua ajira.Tatizo watu hawajatulia kujiuliza hiki kitu kina maana gani na hivyo mimi...
  9. H

    Kuhusu ajira za Walimu,Hili prof Mkenda Kalitazama!

    Kwanini asijiandae kwa kusoma pia;material si zipo kichwani tu amesahau akianzq kusoma kumbukumbu ya concepts inarudi.Au alikariri concepts haziku sink?
  10. H

    True story!! Kwenye mapenzi tuwe makini kabla ya kuingia kwenye mahusiano

    Asiendee na uhusiano amshukuru Mungu.Ndugu wa damu kuoana mnazaa viumbe dhaifu
Back
Top Bottom