Recent content by HC Judge

  1. H

    TLS: “Wakili Joseph Masanja Aliuawa kwa Kushambuliwa na Askari Magereza Katika Bwalo la Magereza Babati”

    Hili tumelijua kwasababu victim ni wakili na TLS wameamua kulisimamia je kwa ndugu zangu wakulima?
  2. H

    TBT: Ajali ya moto Morogoro (2019), ni lipi la kujifunza?

    Kwakweli inatisha sana nilihisi kuiona jehanam
  3. H

    TBT: Ajali ya moto Morogoro (2019), ni lipi la kujifunza?

    Izo ni story tu za mtaani walikuwepo na wapita njia waliokuwa wakishanga kabla ya tukio (mimi nikiwa mmoja wapo)
  4. H

    TBT: Ajali ya moto Morogoro (2019), ni lipi la kujifunza?

    Naomba nisiadithie lakini kwa ufupi sana ni kwamba nilipoteza watu wangu wawili wa karibu nikiwaona wanateketea huku sijui nini chakufanya
  5. H

    TBT: Ajali ya moto Morogoro (2019), ni lipi la kujifunza?

    Unatonyesha vidonda yani ili tukio nimelishuhudia kwa macho yangu bila kuadithiwa kwakweli huwa sitamani kulikumbuka kabisa
  6. H

    Mambo ya kuzingatia ili kupata msaada wa bure wa kisheria nchini Tanzania.

    Kwahiyo hapa hata matajiri wanapatiwa msaada wa kisheria bure na wao?
  7. H

    Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

    Aisee kumbe jambo lipo serious kiasi hichi 😳
  8. H

    Suala la Baraza la Vijana la Taifa linakwama wapi?

    Kama ndo wabongo wote tukiwa tuna fikiria na kuwa ma Judgmental kama wewe hii nchi kamwe haiwezi kuendelea
  9. H

    Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

    Hawana hoja ni spana za upinzani zina wasumbua.
  10. H

    Kwanini mtandao wa X (Twitter) unapigwa vita nchini Tanzania?

    Mimi sielewe kabisa, ni kivipi uhuru ulionao X unakua sababu ya ushoga? Maana nifahamuvyo ni kwamba kila mtu analetewa suggestions za content kutokana na anachofatilia.
  11. H

    Suala la Baraza la Vijana la Taifa linakwama wapi?

    Leo ndo nimesanuka. Kumbe na sheria ilishapitishwaga aise. Hapa ndipo ninapo ichukiaga serikali ya CCM na nina uhakika vijana wengi hata hawaelewi chochote kuhusu umuhimu wa ili swala.
Back
Top Bottom