Mimi sielewe kabisa, ni kivipi uhuru ulionao X unakua sababu ya ushoga? Maana nifahamuvyo ni kwamba kila mtu analetewa suggestions za content kutokana na anachofatilia.
Leo ndo nimesanuka. Kumbe na sheria ilishapitishwaga aise. Hapa ndipo ninapo ichukiaga serikali ya CCM na nina uhakika vijana wengi hata hawaelewi chochote kuhusu umuhimu wa ili swala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.