Recent content by hb9

  1. hb9

    Nimeamini viongozi wengi waliishi na Magufuli siyo kwa dhati ya mioyo yao bali kwa unafiki

    Sio wanafiki bali pengine hawakupewa nafasi ya kusikilizwa hoja zao.Kwa ukali wa kiongozi au hata baba nyumbani huwa mtu au mtoto anaogopa kusema jambo pengine kutokuwa na uhakika litapokelewaje.Wanaongea ambayo waliamini yako sawa kwa wkt ule na sasa.Kama barakoa kwa mfano kiongozi hajavaa...
  2. hb9

    Wanaopinga kuanzishwa mkoa wa Chato hawana hoja

    Tukifikia nje ya box.Je huu ni muda sahihi wa kuifanya Chato kuwa mkoa kama ambavyo inatakiwa kwa hoja mbalimbali za kiuchumi,kijamii na maendeleo ya sehemu na idadi ya wakazi.? Kama ni kumuenzi kiongozi aliyepita tukubaliane tumuenzi kwa kumalizia aliyotaka hapo ilipokuwa asili yake regardless...
  3. hb9

    Fred Vunjabei ni fisi aliyejivika ngozi ya kondoo

    Kilichomfikisha hapo Fred ni mapambano yake kibiashara na elimu inayomsaidia kukua siku hadi siku.Hisoria yake inambeba kuisimamia idara ya fedha.Shida wengi wetu tunajadili kiubinafsi na wivu wakati mwingine.Bora hata akae at least mwaka kisha tujadili mapungufu yake.Mtu hata wiki mbili hana...
  4. hb9

    Rais Samia amsimamisha kazi Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai ili kupisha uchunguzi wa tuhuma dhidi yake

    Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu utendaji wake hata clip za wafanyabiashara mfano mmiliki wa Weruweru lodge alitamka hadharani kuhusu kulazimishwa kutoa fedha.Lema alisema sana kuhusu tuhuma mbalimbali.Tuache mkondo wa sheria na haki tuone hatma yake.Ila kikubwa " guilty until proven innocent"
  5. hb9

    Uchaguzi 2020 Ningekuwa Makonda ningesubiri mpaka 2025

    Hivi ukishaacha dhambi na ukatenda mema utakuwa na uhakika kwenda mbinguni sio.? 'Hii ndio ile 'mountaintop " aliyoisema Martin Luther Jr. Anaijua safari na atafika kwenye promised Land.
  6. hb9

    Zanzibar 2020 Hussein Mwinyi kukosa Kura zote za Zanzibar za Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) inafikirisha sana. Haki ya Wazanzibar kuchagua iko Wapi?

    Kwa uhakika gani kwamba wengine si wajumbe wa Tanzania bara waliompigia kura Nahodha na mwenzie.Hoja ni kwamba pengine Mwinyi halikuwa chaguo la wazanzibari wengi au vinginevyo Ila hii probability yako haiko sawa
  7. hb9

    Watumishi Housing nyumba zenu ni kwa ajili ya kusaidia au kunyonya Watumishi?

    Kiuhalisia ni gharama kubwa sana maana tofauti ya 76,000,000 inajenga Nyumba nyingine ya kisasa kabisa.Nyumba kama hizo hugharimu chini ya 50,000,000 kwa kuwa built up area ni ndogo Vyumba ni vidogo,headroom fupi na eneo linalobaki pembeni ni dogo na mnabanana sana.Malezi ya watoto yanaathirika...
  8. hb9

    Kompyuta Ofisi ya DPP zenye kesi za Uhujumu Uchumi zaibwa

    QUOTE] Wakati mwingine vituko kama hivi wasifanye viwe habari.Watulie wasake kimyakimya maana udhaifu huu na tafsiri yake baada ya kusambaa inafikirisha watu zaidi na mawazo yanaweza kwenda mbali zaidi.Utasikia hajakamatwa mtu pengine ni upepo wa kisulisuli ndio umepita ofisini kwa DPP.Tutaona...
  9. hb9

    Mstaafu Benard Membe hajaenda kwenye kilele cha mbio za Mwenge

    Uwepo wa Membe ulikuwa na tija gani katika ukamilifu wa dhifa hii pamoja na kuhudhuriwa na viongozi uliowataja.Orodha ya wastaafu umeipata wapi ukamkosa Membe pekee ? Ubora wa mkutano na shughuli zingine kama zinaendelea sawa hazijakwamishwa due to his absence then usijichoshe na mambo...
  10. hb9

    Tundu Lissu: Sitarudi tena Tanzania hadi nihakikishiwe Usalama wangu

    Usalama wa kiongozi kama Lissu na shughuli za aina yake katika nchi hii kwa sasa na pia madhila aliyopitia ni kipaumbele kikubwa akizingatia pia thamani ya maisha yake na familia yake ikiwa atadhurika kwa mara nyingine.Mungu alimpa nafasi ya pili as it was a miracle kuweza kusurvive ile...
  11. hb9

    Rais Magufuli: Waliopo mahabusu kwa kesi za uhujumu uchumi, kama wapo tayari kuomba msamaha na kurejesha pesa, kama Sheria inaruhusu nashauri waachiwe

    Kama akifanikiwa hili likatekelezwa na DPP japo naamini kwenye mwenendo wa kesi za ina hii hakuna kuomba msamaha na kuachiwa itadhihirisha mhimili kubaki mmoja tu kwenye uongozi wa nchi japo kwa upande mwingine ni jambo jema kuwasamehe.Na kwenye mahakama kuhusu kesi zingine itakuwaje kama msingi...
  12. hb9

    Prof. Palamagamba Kabudi awataka Watanzania kunyamaza kimya

    Nchi ya Tanzania, serikali ya awamu ya tano,inayotekeleza ilani ya chama cha mapinduzi(CCM)
Back
Top Bottom