Nakukunda
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 877
- 1,635
Ni dhahiri Seif atapataUmemjibu vema kabisa. Na anasahau kabisa kuwa ZEC inamtaka mtu kuwa mzanzibar (wao wanaita mkaazi) ili kuwa mpiga kura au mgombea. Kama jamaa alikuwa Mbunge wa Mkuranga - wanamchukulia sio mzanzibar na ndio maana alishinda kwa kura za wabara!! Mimi sielewi ni kwanini wajumbe watofautiane kwa idadi kati ya nchi hizi mbili. Labda ni kwa kuwa siko katika siasa lakini ni dhahiri maamuzi ya wanaCCM Zanzibar yatafanywa na CCM Bara - siku zote!!
Naona njia nyeupe kwa Seif, ziliwemo kura nyingi za wanaCCM hasa baada ya mshindi kusema ataongoza Zanzibar kama JPM anavofanya Bara!
Ila jamaa wamezoea kubaka matokeo
Hata Mwinyi anajua atapata kwa nguvu ya CCM na sio wananchi