Tumezoea sio kawaida sabuni za kawaida zinazokatwa vipande kupanda bei, tumezoea kuwa mche wa sabuni ukipanda sana ni tshs 500/= lakini hadi sasa mche wa sabuni umepanda kutoka shs 2300/= ya mwezi March na kufikia tshs 4000/ kwa mwezi May.
Kipande cha sabuni bei yake ilikuwa ni tshs 500/= na...
mie pamoja na HOSEAkutoka kanda ya ziwa bado simkubali maana anakuwa kimya sana.Sheria kibaozinavunjwa,katiba inasiginwa yeye kimya.Sasa umuhimu wake ni nini?
Heri ya sikukuu ya wafanyakazi duniani(mei mosi) ndugu zangu watanzania. Nimeleta uzi huu kukosoa Kauli ya Spika wa bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Job Augustino Ngugai alipopewa nafasi ya kusalimia mbele ya mh Rais alisema anazungumza na watani wake na kusema;natamani mbadilishe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.